Mm naomba kuuliza kwan ili tatizo la homon halitibiki? Mtu mwenye tatizo la ushoga hawezi pata matibabu akaachana na hzo mambo kama mtumia madawa ya kulevya??
Mm naona kama huna wazo la kumsaidia mtu bora tu unyamaze coz majibu mnayoyatoa naona kama mnapoteza mda wanu. Hebu mwenye hekima na uelewa anisaidie katika hili
Nimeanza kufanya mapenzi mwaka wa tano sasa lakini sijawahi kutoa shahawa (kufika kileleni) hata nifanye tendo la kujamiana muda gani.
Hili ni tatizo au ni uzembe wangu??
njie mnaongea tu coz hamjui yaliyomo humu hapa hapajakaa sawa bhana kwann tulazimishwe kununua hizo handout zao kwa bei kubwa na vitisho vingi kwamba tusipo nunua tutafeli? hivi mnahisi kuwa wote tuna mikopo? achen hizo bhana mna support ujinga kwan mshahara hawana?
Sikuwahi kuwaza kama kuna chuo chenye shida ya maji kama hiki.
Maji ni kidogo na ni chumvi hakuna mfano, hasa college ya education kwa walio home bado mtenge kabisa fungu la maji ya kunywa maana haya yaliyopo katu huwezi kunywa
sio makongo tu jaman wazaz muwe makini mapopeleka watoto shule za boarding maana kuna uchafu wa kila aina mm ni mwalimu na niliwah kuwa patron nafaham hzo kesi zipo nyingi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.