Ukiwa huna pesa unaweza kufikiria hivyo. Ila ukizipata pale ulipokuwa unapaona panakukidhi unaanza kuona pa kawaida. Unaanza kupangilia mipango mingine ya mbali zaidi ambayo nayo ukiifikia utaongeza mingine. Maisha ndivyo yaendavyo!
Hapo sio chini ya 100M. Angekuwa amenunua hisa za NMB kwa 15,000 kwa hisa leo angeshakuwa na faida zaidi ya 30% ndani ya miezi 3 ambapo ndo faida anayoitegemea huko kwa miaka 3
utawala huu una wajinga wengi sana. Ndo maana propaganda za kijinga zimekuwa nyingi kuliko maendeleo. Wanawaza vyeo na mali za kuiba as if watazikwa nazo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.