Recent content by amshapopo

  1. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Wafanyabiashara wanazikusanya za kutosha kwa hofu ya Rais ajae kukaza vyuma. Kuna Mabilionea under 40 wengi sana

    Ila kiukweli watu walio na channel saivi wana hela kwelikweli. Shida ni kwamba hawaziwekezi kwenye shughuli za uzalishaji bali wanaspend kwenye lucrative things
  2. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Ukifuga mbuzi 10 leo mpaka mwakani utakuwa na mbuzi zaidi ya 20 mwaka unaofata utakuwa na mbuzi zaidi ya 100

    Ukitaka kufuga mbuzi uwe na eneo kubwa pembezoni mwa mji ili usigombane na watu. Kimjini mjini labda ufuge wawili watatu sawa ila wakizidi hapo jiandae kwa kesi kila siku
  3. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Nimepata Milioni 2 Biashara ya Chips naona ngumu, nawaza kuwekeza kwenye hisa

    Kama huna vyanzo vingine vya mapato na unategemea hiyohiyo 2M, sikushauri kununua hisa
  4. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Simba mjifunze kuheshimu wakubwa, Msipobadilika mtajua hamjui hii ni code nawapa

    Viongozi wajifunze kujikomba komba kwa watu wasiowapenda. Watu wana jambo lao kiongozi anapiga simu ili iweje.
  5. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Hela huipati bila roho ngumu
  6. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Lissu alivyomkaanga Mpelelezi Mkuu wa kesi yake

    Kifupi ni kwamba, wengi wanao ajiriwa serikalini ni vilaza
  7. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Ni michezo gani ya hatari uliwahi kufanya ili utoboe kimaisha?

    Mimi nilipewa kitengo cha logistics kwenye kampuni ninayokuwa nafanyia kazi. Muhindi aliniamini sana kwenye kutafuta bei nzuri ya kusafirisha mizigo za mazao kwenda Dar. Basi ukawa mwanya kwangu! Uzuri mzigo ulikuwa mwingi, niliwatafuta ma -transporter nikawapanga na kuongeza 300k kila gari bila...
  8. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Hivi hii error ya NMB MshikoFasta inatokanaje na inatatuliwaje?

    Ujue unavimeo sehemu zingine. Sikuhizi ukikopa huku usipolipa huku ni shida
  9. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Watanzania wengi wanaotumia ATM machine kutoa pesa bado hawajui huduma ya kugusa kadi (NFC Reader) kutoa pesa wamezoea njia ya kuchomeka kadi

    Sisi wengine tunatolea kwenye mobile app (cardless)then tunaenda na namba tu kwenye ATM
  10. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia anachekesha kama si mtu wako wa karibu

    Nimekuelewa. Shida tunataka mwenye IQ ndogo awe na IQ kubwa 😂😂😂
  11. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Jana NMB wamenitumia Trion 10 Kwa makosa

    Hata salio likisoma 1trilion huwezi kuzitoa ama kuhamisha. Kwani system mpya ya bank waliyohamia sasa huwa na tabia ya unapofanya muamala kabla ya pesa kutoka huwa inaji-reconcile within seconds then ndo muamala unafanyika.
  12. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Kero sugu ya shida ya mtandao NMB fanyeni marekebisho

    Huduma zinapatikana vizuri tokea jana.
  13. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Aliingilia Msafara wa Mwenge na hicho ndicho Polisi waliamua kumfanyia. Je, ni haki?

    Fikiria huyo ni mzazi wako ametoka kwenda kuuza alizeti ili aje alishe familia yake. Sawa mtu amekosea bila kukusudia, kulikuwa naulazima gani kuyatupa mazao yake? Vitu vingine vinatia hasira kwa wananchi. Sio kila kosa linahitaji adhabu!
Back
Top Bottom