Recent content by amshapopo

  1. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Ama kweli tunatofautiana , Mfanyabiashara umehaso hatimae una bilioni 10, unaendelea kuhaso kumfurahisha nani ? wengine tukizipata tunastaafu mapema

    Ukiwa huna pesa unaweza kufikiria hivyo. Ila ukizipata pale ulipokuwa unapaona panakukidhi unaanza kuona pa kawaida. Unaanza kupangilia mipango mingine ya mbali zaidi ambayo nayo ukiifikia utaongeza mingine. Maisha ndivyo yaendavyo!
  2. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    Unapenda minyunduano kuliko kula 😂😂😂
  3. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Wanawake wanatamani watoto weupe ila hawawataki wanaume weupe

    Kweli wewe akili kisoda
  4. amshapopo

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Hata mkiua mashahidi kama Kenyatta na Rutto walivyofanya mwaka 2014, hamuwezi kupona mwaka 2026

    Nchi badala ya kwenda mbele inarudi nyuma kwa reverse kali.
  5. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Lissu: Nipo tayari kukaa gerezani mpaka haki itakapopatikana

    Huyu jamaa yupo mbele ya muda. Kaweka tamaa pembeni kaamua ku-focus……huyu jamaa nikimsikiliza moyo unaitika yess
  6. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Unamkumbuka your truly lovely EX kwa lipi? Nini hutosau kamwe pindi umuonapo au kukutana naye?

    Mapenzi ya ujanani raha😂😂😂
  7. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Leo imeshuka kidogo. Ni 2110 kutoka 2130 ijumaa
  8. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Hii dunia ukipenda vitu soft soft utaishia kuwaona wenzio Freemason. Acha uoga soma game then wekeza kwa muda mrefu
  9. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Hapo sio chini ya 100M. Angekuwa amenunua hisa za NMB kwa 15,000 kwa hisa leo angeshakuwa na faida zaidi ya 30% ndani ya miezi 3 ambapo ndo faida anayoitegemea huko kwa miaka 3
  10. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Safari ya kununua hisa za NMB inaanzia hapa. Ml 87 stake, liwalo na liwe!

    Utachelewa sana. Njoo kwenye hisa huto jutia
  11. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Hivi mna habari Samia ni dikteta kuliko Museveni?

    Huyu amegeuka mnyama
  12. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Hivi mna habari Samia ni dikteta kuliko Museveni?

    Nipo jikoni na nimeamua kulipuka ukweli. Anacho amua yeye ndo afla na omega. Ukimpinga kidogo tu uwe tayari kwa lolote. Sura sio Roho amini nawaambia!
  13. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Sheba Igangu anataka Balozi Mkubwa aliwe kichwa kama yule mdogo, wanamlazimisha atume ujumbe kule kuwa aliwaingiza chaka!

    utawala huu una wajinga wengi sana. Ndo maana propaganda za kijinga zimekuwa nyingi kuliko maendeleo. Wanawaza vyeo na mali za kuiba as if watazikwa nazo
Back
Top Bottom