Hisa zinaenda kama mawimbi ya bahari. Juzi kati watu wameuza kwa panic leo mzigo unapanda bei tena. Fundisho, usije na hela ya mboga kwenye huu uwekezaji
Yaani uuze hisa utapeliwe fedha……Mbona kama ndo nasikia kwako hii kitu. Nipo kwenye game kitambo na sijawahi sikia hii issue! Shida inakuja kuna baadhi ya hisa hapo nyuma zilifanya double trading so watu wakajiona wana hisa nyingi kuliko halali yao so ukiuza hisa zako broker akafanya...
Kama bado ni Kijana na unatamani kufika mbali zaidi…….M300 Tia hisa za CRDB na NMB. 200m nunua Bonds za serikali za muda mrefu zenye interest ya angalao 14%. Kwanini? Hisa zitaendelea kupanda na kukupa gawio kila mwaka so ni rahisi kwa mtaji wako kuongezeka na Bonds zitakupa hela ya kuweza...
Ukishakuwa na hela kama hiyo lazima utafute wataalumu wabobezi wa maswala ya fedha……lasivyo zitakuuwa kabla ya wakati wako. Ila mimi kwa umri wangu huu, ningetia 70% hisa za CRDB VS NMB then 30% Bonds za serikali za muda mrefu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.