Recent content by amshapopo

  1. amshapopo

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Kabisa, sasa tunaingia mwezi wa mafanikio……Devidents declarations + Q1 results. Tujiandae kwa portifolio kunona
  2. amshapopo

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Ukipata wekeza, maisha ya uwekezaji yanahitaji uvumilivu….Maisha ni mazuri!😂😂😂
  3. amshapopo

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Hisa zinaenda kama mawimbi ya bahari. Juzi kati watu wameuza kwa panic leo mzigo unapanda bei tena. Fundisho, usije na hela ya mboga kwenye huu uwekezaji
  4. amshapopo

    KERO DSE na VERTEX Securities wanaua Soko la Hisa na Kudhulumu Wagonjwa – Mifumo Imekufa, Pesa Zinapotea!

    Yaani uuze hisa utapeliwe fedha……Mbona kama ndo nasikia kwako hii kitu. Nipo kwenye game kitambo na sijawahi sikia hii issue! Shida inakuja kuna baadhi ya hisa hapo nyuma zilifanya double trading so watu wakajiona wana hisa nyingi kuliko halali yao so ukiuza hisa zako broker akafanya...
  5. amshapopo

    Msaada nina milioni 500 hapa ambayo nataka niiwekeze niwe nakula faida tu, wapi kunafaa kwa uwekezaji huu?

    Kama bado ni Kijana na unatamani kufika mbali zaidi…….M300 Tia hisa za CRDB na NMB. 200m nunua Bonds za serikali za muda mrefu zenye interest ya angalao 14%. Kwanini? Hisa zitaendelea kupanda na kukupa gawio kila mwaka so ni rahisi kwa mtaji wako kuongezeka na Bonds zitakupa hela ya kuweza...
  6. amshapopo

    Kama ungepewa dola 500,000 hivi sasa, ungezipangaje na kuzisimamia vipi? Ni jambo gani ungeweka kipaumbele kwanza?

    Ukishakuwa na hela kama hiyo lazima utafute wataalumu wabobezi wa maswala ya fedha……lasivyo zitakuuwa kabla ya wakati wako. Ila mimi kwa umri wangu huu, ningetia 70% hisa za CRDB VS NMB then 30% Bonds za serikali za muda mrefu
  7. amshapopo

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Vipi mnanunua hisa? Au bado ni matomaso?
  8. amshapopo

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Wawekezaji wamekuwa wengi so imekuwa kazi kuwahandle.
  9. amshapopo

    Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Ndo hapo. Ukimiliki hisa za CRDB ukashindwa kutoboa kwa miaka mitano mbele……..Njoo nidai hela yako
Back
Top Bottom