Recent content by amshapopo

  1. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Ulinikandia sana na kuniona kama tapeli, vipi unaonaje hali😂😂😂
  2. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Ukisikia kujilipua ndio huku. Milioni 60 hisa za CRDB, liwalo na liwe

    Ni mwendo wa kutafuna magawio tu. Nimeshakula CRDB naisubiri NMB baba lao
  3. amshapopo

    JamiiForums Tanzania KERO Bank ya NBC Tunduma ongezeni Wahudumu, mnatuweka kwenye foleni sana

    Njoo nmb karibu yako
  4. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Wimbi la watu kupeleka fedha kwenye kununua Bonds, Hisa, UTT, hatifungani, fixed deposits, je ni kitu kizuri au kibaya?

    Utajiri upo kwenye hisa. Nunua CRDB na NMB then tulia. Utakuja kunipa shukrani hapa
  5. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Awamu ya 6 na Jiji la Dar - barabara kwishney!

    Saivi ukiwa na hela nunua plot Dodoma. Utakuja kunishukuru……Dodoma ya kipindi kile sio hii ya sasa
  6. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Nashukuru Mungu nimetimiza milion 200 yangu kwanza?

    Safari ya kuitafuta 1bil.
  7. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Hekaya za Idu: ziara za Waziri Mwigulu Nchemba zinatafakarisha sana. Ni kama taifa halina waziri mkuu na limepotea.

    Kifupi ni kwamba hii serikali ni kama inajiendesha kivyakevyake. Hakuna mtu mwenye muda nayo!
  8. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Nimeamini safari ya kuitafuta na kuishika ml 100 as cash ni ngumu mno. Najitaidi lakini yataka moyo!

    Hata UTT ni investment sema return yake iko fixed
  9. amshapopo

    JamiiForums Tanzania Ni uhakika kwamba waliotekwa karibu wote tayari wamekufa

    Na wala hakutukana mtu kwenye ukosoaji wake. Ila malipo ni hapahapa duniani
Back
Top Bottom