Ila kiukweli watu walio na channel saivi wana hela kwelikweli. Shida ni kwamba hawaziwekezi kwenye shughuli za uzalishaji bali wanaspend kwenye lucrative things
Ukitaka kufuga mbuzi uwe na eneo kubwa pembezoni mwa mji ili usigombane na watu. Kimjini mjini labda ufuge wawili watatu sawa ila wakizidi hapo jiandae kwa kesi kila siku
Mimi nilipewa kitengo cha logistics kwenye kampuni ninayokuwa nafanyia kazi. Muhindi aliniamini sana kwenye kutafuta bei nzuri ya kusafirisha mizigo za mazao kwenda Dar. Basi ukawa mwanya kwangu! Uzuri mzigo ulikuwa mwingi, niliwatafuta ma -transporter nikawapanga na kuongeza 300k kila gari bila...
Hata salio likisoma 1trilion huwezi kuzitoa ama kuhamisha. Kwani system mpya ya bank waliyohamia sasa huwa na tabia ya unapofanya muamala kabla ya pesa kutoka huwa inaji-reconcile within seconds then ndo muamala unafanyika.
Fikiria huyo ni mzazi wako ametoka kwenda kuuza alizeti ili aje alishe familia yake. Sawa mtu amekosea bila kukusudia, kulikuwa naulazima gani kuyatupa mazao yake? Vitu vingine vinatia hasira kwa wananchi. Sio kila kosa linahitaji adhabu!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.