Recent content by Amri nhelegani

  1. Amri nhelegani

    NACTE yatoa majina ya waliopata nafasi ya kujiunga na vyuo ngazi ya cheti na stashahada 2016/2017

    Kwan kuuliza kuna tatizo bro vp nimeuliza kama huna jibu unakaa kimya ila kama umalojb bax unaweza jb, maana mm nauliza lingine wewe unajb lingine khaaaa
  2. Amri nhelegani

    Selection za NACTE 2016 zitatoka lini?

    Kuna mtu aliyechaguliwa besha Health Institute kilichopo tanga
  3. Amri nhelegani

    Kwa Ujumbe huu, TCU imefunga system kwa Second selection?

    Kuna mtu kachaguliwa Besha health institute BHI humu
  4. Amri nhelegani

    Msaada: Mwenye taarifa za Betha health college

    Kuna mtu aliyechaguliwa besha humu
  5. Amri nhelegani

    Msaada: Mwenye taarifa za Betha health college

    Now wameweka mambo sawa kwahyo jiungeni tuuu msife moyo ndo tatizo la wabongo hilo ila chuo ni kizuri sana
  6. Amri nhelegani

    Msaada: Mwenye taarifa za Betha health college

    Ndyo chuo ni kizuri sana tuuu hicho sisi tunafuata elimu iliyo bora chuo kipo vizuri wewe besha college of health kipo bomba kile
  7. Amri nhelegani

    Msaada: Mwenye taarifa za Betha health college

    Hv ukimaliza course ya community health unaweza ukaendelea na course ipi kuna mshikaji ameniuliza nimeona nililete humu
  8. Amri nhelegani

    NACTE yatoa majina ya waliopata nafasi ya kujiunga na vyuo ngazi ya cheti na stashahada 2016/2017

    Hivi course ya community health kama ukimaliza unaweza ukaendelea na course ipi kuna mshikaji ameniuliza nimeona nililete humu
  9. Amri nhelegani

    NACTE yatoa majina ya waliopata nafasi ya kujiunga na vyuo ngazi ya cheti na stashahada 2016/2017

    Hahahahahahahahahahahahahaaaa kaka ni hataree hyo kesho kutwa tutatafutana kwenye mtandao tumelala mika sana ila hatimaye tarehe 5 october ndo finally duuuuh nawatakia kila la kheri tuchaguliwe woteee na mm nichaguliwe pia mungu awe nanyi
Back
Top Bottom