Recent content by ampersand

  1. A

    Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

    Kaka Mshana fanya jambo kwa your young brother 🙏
  2. A

    Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

    Nashukuru kwa kuwatag ila bado hawajanifikia
  3. A

    Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

    Wakuu naendelea kupata ushauri, ni mzuri Naomba pia mnipige tafu sina kitu mfukoni hali inatisha uhakika wa kula haupo nimeona nije humu 🙏
  4. A

    Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

    Nashawishika kuamini hili
  5. A

    Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

    Nimekuelewa mkuu shukrani sana kwa ushauri
  6. A

    Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

    Nakuelewa mkuu. Upo sahihi
  7. A

    Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

    Ninamshirikisha Mungu kwenye mipango yangu ila mambo yote yanaenda sivyo hadi ninajiona labda nina nuksi Nashukuru kunitia moyo mkuu wangu 🙏
  8. A

    Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

    Ahsante sana mkuu umenisanua Hilo la kuniombea usiache nina hali inatisha. Kama una michongo tushare, Dunia tunapita hii
  9. A

    Maisha baada ya chuo vs uhalisia mtaani

    JFs Members uzima upo? Nisiwachoshe niende Moja kwa Moja kwenye hoja. Safari ya chuo kuelekea mtaani inaanza tu pale graduation inapoisha Hii naongelea experience yangu Nilipongenzwa kwa bashasha kede kede kwenye graduation yangu na kupewa moyo nishatoboa kazi zipo tu Sasa baada ya miezi...
Back
Top Bottom