Mimi nikujibu kuhusu hathari za kupata mkopo kwa mwaka huu kama ikitokea umehama chuo
kulingana na guidebook ya mkopo mwaka huu inasema, Bodi hawata hamisha mkopo kama ikitokea mtu amehama chuo..hebu pitia vizuri guidebook yao ya mwaka huu nadhani utakutana na kufungu hicho.
Ngoja tusubiri Guidebook itasemaje kuhusu watu wa afya maana kila mwaka TCU huwa wanakuja na mambo mapya
kulingana na ratiba ya TCU Guidebook wanatoa kesho mkuu
Kama mwaka huu akikosa chuo ..basi mwakani akiomba kwa usahihi atapata tu
Lakini cha kumshauri akiwa anaomba mwaka huu inabidi aombe kwa umakini mkubwa, asiombe cozi zenye ushindani wa hali ya juu
Dirisha la maombi ya vyuo vikuu linafunguliwa kuanzia tarehe 15/07/2019
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.