Nilimsikiliza Mh Nassari vizuri Sana nilianza kuishiwa nguvu kule kumlinganisha mke wake na majukumu ya Bunge sio sahihi akumbuke gharama ya uongozi unajiuliza nitalifanyia Nini Taifa langu sio Taifa langu nitanifanyia Nini
Pili sikubaliani na Mh.Nassari kabisa kuwa aliona ni bora abaki na mke...
Taifa lolote duniani huendeshwa kwa njia maridhiano kulingana na Mila na desturi za nchi yenyewe Kuna nchi hapa Duniani hazina Katiba au miongozo rasmi na zilizo na Katiba, Katiba zao nimedumu miaka Mia tatu bila marekebisho ya Katiba hizo, Tatizo moja la nchi changa na hasa za Afrika nikujaribu...
Mh Rais mimi nakuamini nakuombea nina hakika baba wa Taifa angefufuka leo angejisikia mwenye furaha na faraja kukutana na mtu anaye enzi na kusimamia kauli zake kwa vitendo Mungu akubariki saba baba
Mh Rais Magufuli nakuombea kwa Mungu leo katika hotuba yako uliyoitoa leo katika kijiji cha Butiama na kumuenzi baba wa Taifa na kuamka kumpa jina la Stieglers Gorge Kuwa Nyerere Gorge asante asante.
Askofu Muhagachi
Ndugu Nyerere naomba utujulishe utafiti wa matokeo ya kuwatukana wananchi wenzako kwamba ni wajinga tena kwa asilimia kubwa na mbaya kiasi hicho nataka kuelewa kigezo na utafiti uliotumia katika viwango ulivyotumia kuwaita watanzania kuwa ni wajinga sana [no research no right to speak] ndipo...
Pascal
Katika hoja zako napointi zako zote umelitumia kiuhalali jukwaa lako la kiuandishi na kitaalamu kama mwanajamii aliye elimika na kuifahamu Tanzania vizuri sana umeanisha kwa usahihi kasoro za kitanzaia na ukajenga hoja zako kiufundi vizuri sana lakini kasoro chache nazoziona kwako ni...
Natafakari na kuendelea kutafakari juu ya mkutano uliofanyika kati ya Mh.Rais na Waziri Mkuu wa zamani Mh.Lowasa hivi karibuni.
Kwanza tufahamu wangu mimi siasa sio uadui matusi uongo vitina na chuki, siasa ni mfumo wa kisayansi wa kujadiliana kwa hoja zinazojengwa katika sera za vyama ili...
Mimi pia najiuliza Kakobe kumwambia Mh.Rais atubu amefanya makosa gani na kuna mahusiano gani na wingi wa fedha alizonazo kuliko serikali ya Tanzania hata aweze kuwalipa mawaziri wote wa Tanzania. kama sio kiburi na kujisifu nini? kweli hiyo ndiyo sauti ya kinabii kwa Taifa.?
Kama kweli Kakobe...
Kwa nini sasa usihamie Kenya huko unakosifia sana juzi ndugu yangu alienda mpakani anataka kwenda Nairobi akitumia kitambulisho chake alifika pal Sirari mpakani akadai anenda Nairobi na kitambulisho cha Tanzania aliambiwa hayo matangazo aliyotoa Rais Kenyatta hayoko katika sheria lazima...
Sio kweli kuwa upinzani ndio sababu ya Umaskini Tanzanaia/Afrika ni bora kuwa na vyama vingi vya siasa kuliko kuwa na mfumo wa chama kimoja.
Maendeleo ni mchakato hayana njia ya mkato na demokrasia pia ni mchakato haina njia za mkato ili kuufikia utimilifu wa maendeleo kwa hatua za nchi zetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.