Recent content by amme9

  1. A

    Nasumbuliwa na vipele vidogo vidogo ukeni

    Shida yenyewe ndo iyo niliambiwa n warts mwanzo nikaambiwa n herpes nmepewa dawa lkn hazijasaidia
  2. A

    Nasumbuliwa na vipele vidogo vidogo ukeni

    Nikijaribu kupiga picha havionekan vizr lakn ni kama vya kwenye iyo pic apo ju
  3. A

    Nasumbuliwa na vipele vidogo vidogo ukeni

    Izo dawa apo nishatia femicarw na yunzi
  4. A

    Nasumbuliwa na vipele vidogo vidogo ukeni

    Hamna miwasho Wala maumivu yoyote
  5. A

    Nasumbuliwa na vipele vidogo vidogo ukeni

    Kwann nitafute mtoto mapema
  6. A

    Nasumbuliwa na vipele vidogo vidogo ukeni

    Nimekuwa nikisumbuliwa na vipele vidgo dogo kwenye Kuta za uke mda mrefu sana nmaeenda hospital nyingi nmepewa dawa nyingi natumia lakn hamna mabdiliko, anayefahamu dawa ya huu ugonjwa Ni vinafanana na hivi vya kwenye hii picha
  7. A

    Msaada kupata dawa za PEP

    Kupewa dawa inachukua mlolongo mrefu nimepima hiv na nmeambiwa Tena nikapime Figo na ni hospital ya serikali Kuna folen mno
  8. A

    Msaada kupata dawa za PEP

    Uwazovo sivuo ilivo
  9. A

    Msaada kupata dawa za PEP

    Me kupima so tatizo nipo shida niliyekutana naye alikata kutumia kondomu na hata kupima kakataa nimepata waswas ndo Mana nahitaji izo dawa
  10. A

    Msaada kupata dawa za PEP

    Hapa napokaa sitaki wajue kama naenda hospital napata ugumu kuwauliza
  11. A

    Msaada kupata dawa za PEP

    Asantee sana[emoji120][emoji120]
  12. A

    Msaada kupata dawa za PEP

    Sipafahamu Ila mimi nipo maeneo ya riverside
Back
Top Bottom