Recent content by amirmojaElimu

  1. A

    KERO Wizara ya Elimu ichunguzeni na kufatilia kinachoendelea kwenye chuo cha DIT. Kuna rushwa, udhulmati na upendeleo

    Wizara ya Elimu Tanzania Msipo angalia hili la DIT linakuja na sura nyingine Taasis ya Teknolojia Dar DIT ni Taasis maarufu yenye kutoa ujuzi lakini kwenye suala la huduma ni kama Taasis iliyokufa Huduma za wanafunzi zimejaa Rushwa, udhulumati na Upendeleo. Tuna ikumbusha Wizara ya Elimu...
  2. A

    GE2025 CCM kuomba tone tone ni kama kunyonya damu kwa mgonjwa

    Bila shaka wewe na mimi tumekuwa ni sehemu ya Ushuhuda wa Kauli mbali mbali za Viongozi wa Chama Wakijinasibu kuwa Chama Chetu ni Chama Tajiri na Chenye Wanachama Wengi. Halikadhalika tumeshuhudia chama chetu kikiwa ni sehemu ya Mnufaika mkuu wa Ruzuku ya Uendelezwaji wa Maendeleo ya Chama, si...
  3. A

    GE2025 Malalamiko haya yasipo sikilizwa tegemeeni CCM Mbeya kuendelea Kuwa Ngome ya Upinzani Mpaka Kiama

    Huu Utaratibu wa Viongozi kupewa dhamana na Kukiuka dhamana waliyopewa Umeanza kuwa ni Utaratibu wa kawaida sana. Leo hii hakuna asiye fahamu Uchaguzi wa VITI MAALUMU MBEYA umeharibiwa na Wapuudhi waliopewa dhamana Ndani ya UWT MBEYA lakini cha ajabu Tuna kaliana kimyaa huku Mpasuko ukiendelea...
  4. A

    DOKEZO GE2025 Kama TAKUKURU wameshindwa. basi CCM angalieni hili

    Hii ni hatari sana Kwa Ustawi wa Jamii yetu.
  5. A

    GE2025 Jimbo la Temeke lagubikwa na rushwa, vitisho na ukiukwaji wa maadili ya chama ktk kura za maoni

    Nakuona Katibu UWT MBEYA AMINA MWIRU. Yaani Mgombea akunulie Gari Una jisahau kabisa kuwa Umeuza Nafasi ya Uwakilishi??!!. MBEYA HAPO muda huu AMINA MWIRU Katibu Anakula faida mara baada ya FYANDOMO kulipa gari na kama zawadi kusaidia kwenye kinyang'anyiro cha Uwakilishi Wanawake Mkoa Mbeya...
  6. A

    GE2025 Jimbo la Temeke lagubikwa na rushwa, vitisho na ukiukwaji wa maadili ya chama ktk kura za maoni

    Uki staajabu ya TEMEKE Utayaona ya MBEYA. UBUNGE VITI MAALUMU UNA NUNULIWA. Haki ya Uwakilishi Imenunuliwa Haki ya Kundi Maalumu la Wanawake kumbe wanajiweza ikiwa kama watauza nafasi na Kununua Nafasi. Ubunge wa VITI MAALUMU MBEYA Umefika bei sio Uwakilishi Tena Bali ni Biashara. Aibu Kwa...
  7. A

    Chama cha Mapinduzi (CCM ) na kushindwa kuhifadhi Historia kwa ufasaha

    Kwa hivi karibuni kila Mtanganyika na Mzanzibari ameshuhudia Serikali inayoongozwa na CCM ikiwa ni kinara wa kuendelea kuwasahaulisha kizazi hichi kipya historia mama ya Nchi yao Iliyo ni tunda la Muungano yaani Tanzania. Sherehe za Uhuru wa Tanganyika zimekuwa kama ni hisani, hazipewi kabisa...
Back
Top Bottom