Mkuu pga goti umshukuru Mungu kwa namna anavyokupenda, nilishaota sana na nilipata msaada kwenye moja ya vitabu vya Mwakasege. Pitia hz dondoo hapa chini, cha msing usidharau ndoto. Mungu ana mpango kabambe juu ya malengo ulonayo.
Hebu tuangalie mfano juu ya Biblia inasema nini kuhusu tafsiri...
Pole kwa hayo, ushaur wang n huu
Tafuta eneo lililotulia uende na mpenz wako, sio lazma iwe hapo nyumban.
Jikumbushen mipangoa yenu ya kabla ya ndoa, weken waz changamoto ambazo mnapitia kwa sasa. Muombe msamaha kwa sehem ytte uloteleza. Ziorodheshen zote kisha anzen kushauriana namna ya...
Habar wanajamvi
Leo nmekutana na changamoto baada ya mwanang kuniuliza swali ambalo sikuwa na majib ya kuridhisha. Swali lenyew n huu utaratibu wa kusoma saa, yaan kwa mfano kwa kama n saa saba mchana, huandikwa 1 badala ya 7.
Huu utamadun ulianzia wap na kwa nn??
Ahsanten na karibun san Wajuv...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.