Recent content by Amin Salmin

  1. A

    Mazrui: Jaribio lolote la kumkamata Maalim Seif kulazimisha machafuko makubwa Zanzibar na Tanzania

    Huyu maalim na wafuasi wake wanatakiwa wafahamu kuwa hii ni nchi ambayo kila mtu ni lazima kuheshimu sheria za nchi huyu mtu ni mchochezi ukifatilia mikutano yake karibu yote hutumia ludha za kichochezi tumeshuhudia mengi sana ambayo yalisababusha majanga mazito NI LAZIMA UFIKE WAKATI TUHESHIMIANE
  2. A

    Kikeke ambana Maalim Seif

    uchaguzi km umeharidika unategemea kufanyika nn km sio kurudia?na hii Zanzibar sio ya kwanza kurudia uchaguzi na Zanzibar pia uchaguzi kurudia sio mara ya kwanza huko nyuma kabla ya mapinduzi kuna uchaguzi ulirudiwa si bado nikawaida sana
  3. A

    Kikeke ambana Maalim Seif

    Maalim hana hoja ya msingi kwa kutokushiriki uchaguzi wa marudio,alikataa mwenyewe kushiriki kwa kujua kua kura zake fiki zimeshagundulika na hivi sasa anataka serekali ya mpito baada udanganyifu wake kwa wafuasi wake kua ataapishwa tarehe 49 umegonga mwamba na akaja na mpya kuwa Rais Shen mwezi...
  4. A

    Ubaguzi kati ya CCM, CUF wahamia kisiwani Unguja

    Binapsi sioni sababu ya msingi wananchi kubaguwana,Dini zote hazikubali waumini wao kubaguwana achilia mbali vyama vya siasa,huu ni zaidi ya unyama,nadhani iko uaja viongozi wa kisiasa wanaohamasisha wanachi kubaguana ni lazima wachukuliwe hatua kali kwani sio jambo zuri na kwanini iwe cuf tu...
  5. A

    Maalim Seif atoa masharti ya kurudi kwenye meza ya mazungumzo Zanzibar

    binapai hizo porojo za kutaka kukaameza moja mm hazinipi tabu ila nimeenda mbali zaidi anaposema km Zanzibar haitachukuaatua za kuondoa mgogoro wa kisiasa kuna uwezekano mkubwa makundi ya kiuslamu ya nchi km Somali,kenya na nchi nyengine za kanda wa afrika masharuki zenye msimamo mkaki wa kidini...
  6. A

    Aliofanyiwa Dr. Shein visiwani Comoro ni sahihi kiitifaki

    Rais Shen amekwenda km Rais wa nchi kuiwakilisha Tanzania,mtazamo wangu kwanzs tungejua sababu za yy kuwekwa sehemi ile pengine kuna sababu maalum iliyofanya iwe vilr,tukizungumzia kihadhi km baadhi ya watu wavyo seme eti nako hatambuliki huko ni uvivu wa fikra,ni wakumbushe kiongozi mkubwa km...
  7. A

    Ally Kessy awashukia Zanzibar, Awataka Wabunge wa Zanzibar watoke nje kwa mambo yasiyo ya Muungano

    kiikwwli sioni mdingi wa hoja wa maneno yake zaidi ya kujaza chuki na hoja hii sio yake yy ametumika kipaza sauti tu ni hoja ya upinzani,swala hili ni mfumo tuliojiwekea toka enzi nna dahari hizi ni kauli za kichochezi ktk taifa letu (Chuo cha Amani)sikubaliani nae hata kidogo ni mchochezi
Back
Top Bottom