Recent content by AMEND

  1. AMEND

    Katibu wa BAVICHA Njombe Kusini afariki dunia!

    Poleni wote kwa msiba huu. Tuchukue tahadhali tuwapo barabarani, pikipiki kama vyombo vingine vya usafiri zimekuwa tishio kubwa miezi ya karibuni na zinasababisha vifo kwa Watanzania wengi. Pumzika kwa amani katibu.
  2. AMEND

    Bodaboda mbona mnatuwahisha hivi!!!

    Ni masikitiko makubwa kuendelea kupoteza maisha ya Watanzania kila siku katika ajali ambazo zinaweza kuzuilika. Usafiri wa bodaboda hasa katika jiji letu la Dar es Salaam bado ni mgeni na kwa kweli madereva wa vyombo hivi wanatia sana mashaka. Tuwe makini hasa kuwakemea pale wanapokiuka sheria...
  3. AMEND

    Ajali ya basi la rs dar -bk

    Asante kwa taarifa hii muhimu, nasi pia tunafuatilia kupata habari zaidi. Wiki moja tu iliyopita ajali zimeua zaidi ya watu 14 Mbeya na Kahama. Hakuna muda wa kumtafuta mchawi ni nani kama sisi wenyewe wahanga wakubwa tutaendelea kubweteka, kunyosheana vidole na kungoja mabadiliko. Tuchukue...
  4. AMEND

    Maadhimisho Ya Wiki Ya Nenda Kwa Usalama Barabarani 2012

    Mwaka huu maadhimisho ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani yataadhimishwa rasmi mkoani Iringa kuanzia tarehe 17 hadi 22 Septemba. Kauri mbiu ni "Pambana Na Ajali Za Barabarani Zingatia Sheria". Mkoani Dar es Salaam uzinduzi utafanyika katika viwanja vya Mnazi Mmoja kuanzia sa mbili asubuhi...
  5. AMEND

    Ajali Tanzania, nani alaumiwe?

    Mwaka 2008 asilimia 75 ya ajali za barabarani zilisababishwa na sababu za kibinadamu kama mwendo kasi, uzembe wa madereva, kuendesha ukiwa umelewa n.k , wakati hali ya barabara na ubovu wa magari ulichangia asilia 25 (Chanzo: Ripoti ya Mwaka ya Trafiki Tanzania, 2012) . Sasa tujiulize...
  6. AMEND

    Ajali ya wanasensa Kigoma

    Wimbi la ajali bado ni janga kubwa, chukua tahadhari uwapo barabarani.
  7. AMEND

    Ajali mbaya: Basi la Mohammed Trans laua na kujeruhi tena

    Taarifa hizi za ajali hasa mara tu ajali inapotokea ni za muhimu, hii inawapa tahadhari watumiaji wengine wa barabara husika, ndugu na wale wanaoweza kutoa msaada wa haraka. Ni wazi kabisa kwamba vikosi vyetu vya uokoaji vimelala na ndio maana wahanga hupata msaada masaa mawili baada ya...
  8. AMEND

    Ajali!! Ajali!! Ajali!!

    Pamoja na mapungufu haya yote bado ni wazi kwamba Watanzania wengi hawana elimu ya kutosha kuweza kujikinga na ajali za kuepukika hasa vijana na watoto. Kwa kuanzia na hili vifo vingi ni vya kuepukika.
  9. AMEND

    Kina ajali mbaya imetokea maeneo ya Kibaya, KITETO

    Inasikitisha sana. Waweza toa taarifa zaidi ili watumiao njia hiyo wachukue tahadhari pia.
Back
Top Bottom