NCHI HII SIYO MARA YA KWANZA KUPATA MATATIZO KWANZA HAO WENGI WANAOBOMOLEWA HAWAJAMCHAGUA JPM WEE ANGALIA KARIBU MAJIMBO YOTE YENYE BOMOA BOMOA SIYO YA CCM SASA HATA MSIPOMCHAGUA HAMNA KITAKACHOBADILIKA KWANI VIJIJINI WAMEBOMOLEWA MJINI SI MLIMKATAA MAGUFULI SASA MNATEGEMEA NINI?
ikitokea bongo hapa magufuli akaamua raia watanzania tuu ndio wapewe privileges na machotara waondelewe chama fulani kitapinga na watasema rais mubaguzi... ila israeli mnawaita smart people.
safi sana maana kuna watu hawalali wanatafuta wafanye nini kumdhuru rais...hawajui huyu rais akidhulika ni watanzania wote tutateteleka maana hatuna pesa ya uchaguzi wala mazishi kwenye bajeti ya mwaka huu.
RUDINI KWENU MKAJENGE....mnafikiri kila kitu mtafanyiwa na serikali nani awapende wakati nyinyi wenyewe hamjipendi mnag'ang'ania mjini mnasema kwenu mbali sasa serikali ndio itaona karibu anzeni kujipenda kwanza wenyewe na muuache majungu ndio mtaendelea kwani hamna wabunge??
KAMA WANASIASA WA UPINZANI WANAOENEWA WASUBIRI MAHAKMA ITOE HUKUMU..... maana noana watu fulani tuu kwenye chama ndio kila siku wanakamatwa sasa kwanini kama wanasiasa wa upinzani ndio wanakamatwa mbona kuna wengine hawakamatwi.
ni midomo wengi hawajui kuzungumza kama wamebwia unga ...wana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.