Recent content by amazingone

  1. A

    Hili limenitokea na roho inaniuma sana: TANESCO wanataka kufungia watu umeme kwenye transformer yangu kwa nguvu!

    Nimetoa taarifa no.3769 Kuwa kuna nguzo inataka kuanguka maeneo ya Bonyokwa chuoni... Sasa ni wiki ya pili na hakuna Masada wowote Toka Tanesco. Cc:Tanesco meneja Tabata-Liwiti
  2. A

    Kiwanja kinauzwa

    Ukubwa: 50m×20m Surveyed area Eneo: kinyerezi -bonyokwa Bei: 27,000,000/= contact: 0713851492
  3. A

    Fursa: Ufugaji wa Tombo (Quails Farming)

    unachosema Mr Frank ni kweli kabisa..hapa Tz wafugaji tulianza kama wachache Sana lakini sasa hivi baada ya kuipa hii business publicity ya kutosha wafugaji nao wameongezeka Sana na kuzidi kujitengenezea pesa kwa kuendesha biashara hii ya Kware(mayai na nyama) licha ya watu wengi kutisha wenzao...
  4. A

    Mayai ya kuku wa kienyeji

    Nahitaji hayo mayai.pliz nipatie namba yako
  5. A

    Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    Kwa expérience yangu binafsi mimi natengenezea ndani ya chumba wala hauhitaji mwanga mwingi ila hewa ya kutosha
  6. A

    Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    Unasiku siku saba tu ndugu yangu hapo ndipo navuna na kuwapa Hawa ndege
  7. A

    Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    Ndio rafiki...Kuku na Kwale Zangu wako vizuri Sana kwa sasa
  8. A

    Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    I think it is all about flexibility na uwezo Wa kutumia rasilimali zilizopo ndani ya mazingira yako kupata matokeo yanayotarajiwa..wewe am baye unatoka eneo ambalo unaweza kupata barley kiurahisi tengeneza barley fodder..BT kwa wale ambao ni ngumu kupata barley wawe wabunifu kutimiza malengo...
  9. A

    Mayai ya kwale(Quails ) na ufugaji

    Lipo ukonga ndugu
  10. A

    Hydroponic fodder, Mkombozi pekee wa wafugaji wa ng'ombe, kuku, nguruwe, mbuzi na kadhalika

    Mr chasha Mimi Niko hapa dar Es salaam nimeweza Kuwa innovative zaidi nimetumia millet(mtama)..kutengeneza hydroponic fodder yangu rather than barley.nimenunua mbolea(foliar fertilizer) hapahapa mjini na matokeo ni mazuri sana.nalisha Kuku na Kwale zangu kwa kutumia hii fodder.hebu jionee picha
  11. A

    Mayai ya kwale(Quails ) na ufugaji

    Kwakuwa wadau wengi Wa hapa JF nimekuwa nikiwauzia mayai kwa wingi ambapo imefikia point sasa demand ni kubwa kuliko supply, n still kuna wengine wanahitaji vifaranga,nimeamua kuagiza incubator kubwa zaidi ili nikidhi mahitaji ya soko..hivyo wale Wa vifaranga vya Kwale tuwe na subira kidogo
  12. A

    Soko la strawberry

    pliz..waweza kunitumia mamba yako ya CMU tuwacliane..mine is 0767851492
  13. A

    Mayai ya kwale(Quails ) na ufugaji

    Nauza Mayai tu kwa sasa
Back
Top Bottom