Recent content by Amato Ngowi

  1. A

    Natafuta kiua gugu

    Tafuta kiuagugu aina ya Twiga
  2. A

    Huyu jirani yangu wa kike ananipenda

    Mbona ujaomba ushauri juu ya kumgonga uyo demu unataka tuu kuachana naye . Sent using Jamii Forums mobile app
  3. A

    Huyu jirani yangu wa kike ananipenda

    Mungu anakuona haki ya nan Sent using Jamii Forums mobile app
  4. A

    Huyu jirani yangu wa kike ananipenda

    Khaaaa inaonekana hupendi mikato, shortcut yann nimecheka sana kwa sauti kubwa sijui majirani wamesikiaaa? Hii koment in nomaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  5. A

    Msaada wa haraka: Mahindi yangu yana tatizo hili

    Hawo ni wadudu chakufanya tafuta dawa ya kuwauwa sio ugonjwa huo. Ushauri tuu pia unaweza kuchanganya buster humor humo kwenye sumu ya kuuwa wadudu. Tafuta sumu aina ya Multi _Alfa plus, liberate, au spidex Sent using Jamii Forums mobile app
  6. A

    Je, kuna madhara yatakayo pata mahindi kwa kutowekewa udongo baada ya kutumia sumu ya kuangamiza magugu inayoacha mahindi pekee?

    Kwenye mahindi baada ya palizi kwa kutumia Dawaa Sent using Jamii Forums mobile app
  7. A

    Je, kuna madhara yatakayo pata mahindi kwa kutowekewa udongo baada ya kutumia sumu ya kuangamiza magugu inayoacha mahindi pekee?

    Habarini ndugu zangu natumai mko vyema na majukumu yenu ya kila Siku ya maisha. Ningependa kutumia nafasi hii kupewa elimu juu ya kilimo cha mahindi. Swala langu limejikita sana katika kufahamu, Je Kuna madhara yeyote yatakayo pata mahindi yasipopata au kuwekewa udongo baada ya kutumia sumu ya...
Back
Top Bottom