Recent content by AMANI TANZANIA

  1. A

    UKAWA wakata tamaa Umeya Dar

    Umekumbuka kukwepa kodi Leo mkuu
  2. A

    UKAWA wakata tamaa Umeya Dar

    Wakati ccm ikimtaka mkurugenzi wa jiji kuitisha uchaguzi wa meya haraka, inaonekana dhahiri kuwa chadema/ ukawa wameshakata tamaa. Sasa wafuasi wengi wa ukawa wanajadili namna ya kumkwamisha RC Makonda ktk majukumu yake. Wakishindwa utasikia ccm imeiba kura! Akili ya ovyo Sana hii
  3. A

    UKAWA Watuombe radhi Watanzani

    TBS sijui ilivamiwa na akina nani mkuu. Maana sielewi kabisa. Kipindi kile tuliaminishwa ni "majembe" leo tunaambiwa hawana kiwango! Anyway 2020 si mbali!!
  4. A

    UKAWA WATUOMBE RADHI WATANZANIA

    Wanajukwaa, nimeshuhudia sarakasi za ukawa bungeni kwenye uteuzi wa kamati. Haiingii akilini kwa mtu kwenye akili timamu aliyeichagua UKAWA Leo anaambiwa mbunge wa Ukawa hana kiwango cha kuwa kwenye kamati ya PAC na LAAC. Ukawa watuombe radhi wapigakura kwa kutuletea wagombea wasio na viwango na...
  5. A

    UKAWA Watuombe radhi Watanzani

    Wanajukwaa, nimeshuhudia sarakasi za ukawa bungeni kwenye uteuzi wa kamati. Haiingii akilini kwa mtu kwenye akili timamu aliyeichagua UKAWA Leo anaambiwa mbunge wa Ukawa hana kiwango cha kuwa kwenye kamati ya PAC na LAAC. Ukawa watuombe radhi wapigakura kwa kutuletea wagombea wasio na viwango na...
Back
Top Bottom