Recent content by Amani R Mbuya

  1. Amani R Mbuya

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    MSAADA ANAYE JUA JINSI HA KUTOA PESA PARIPESA MAANA NAJARIBU NASHINDWA NAAMWIWA NI WEKE GEOOGLE CODE NDO IPI
  2. Amani R Mbuya

    Dream League Soccer Special Thread

    2.59 ODD WEKA ADA
  3. Amani R Mbuya

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Jeshi la Urusi limeonya kuwa raia wote waondoke Kyiv kabla halijaanza oparesheni katika mji huo. Muda wa Kyiv ukifika halitachangua pakupiga. Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
  4. Amani R Mbuya

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    "333 Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
  5. Amani R Mbuya

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    .. Kikosi cha Wanaanga wa Marekani kinafuatilia shughuli isiyo ya kawaida ya setilaiti ya Urusi inayohusiana na uelekezi wa manowari ya nyuklia. Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
  6. Amani R Mbuya

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Tatizo sio kwamba Putin ni smart sana, ambayo bila shaka yeye ni smart. Tatizo viongozi wetu (NATO na POTUS) ni mabubu, mabubu" - Donald J Trump aka Stable Genius [emoji16][emoji41] Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
  7. Amani R Mbuya

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    [emoji117] Marekani na Ufaransa zimewataka Raia wake kuondoka Urussi Haraka. [emoji117] Putin ameamuru kitengo cha Nuclear kikae Stand by [emoji117] Urussi imesema kama Dunia haioni umuhimu wa Urussi kwanini wao waone umuhimu wa Dunia. Mhh! Winter is coming wazee! Sent from my CPH1923 using...
  8. Amani R Mbuya

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Naomba niwakumbushe kauli ya Vladimir Putin Leo Mchana. Wale wanaohusika na uungaji mkono wa uhamishaji wa silaha za Magharibi kwenda Ukraine pia watalengwa. Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
  9. Amani R Mbuya

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wakuu saivi sio utani tena kwa Hali ilivyo kuna kila dalili ya kuzuka kwa VITA kuu ya TATU ya DUNIA. nimeanza kuogopa. Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
  10. Amani R Mbuya

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    . Mamlaka nchini US zime wataka Raia wa Marekani waishio nchini Urussi kuondoka mapema iwezekenavyo Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
  11. Amani R Mbuya

    Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Russian state TV: manuari zetu pekee zinaweza ku launch zaidi ya 500 nuclear warheads, ambayo tunawahakikishia kuiharibu US na NATO kwa uzuri tu. Kanunini yetu ni rahisi tu "kwanini Tunahitaji Dunia wakati yenyewe hitaki Russia IWEPO"? Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom