Mayalla kwetu maana yake ni njaa!, ni utani tu ndugu yangu Pascal.
Nashukuru kwa mchango wako mzito kuhusu kauli ya Mheshimiwa Waziri Mkuu alipozungumzia wahitimu wa shahada kushauriwa kujiunga na VETA/VET.
Ni kweli, kilichogusiwa ni changamoto halisi ya ukosefu wa ajira. Hata hivyo, ili...
Mnamo septemba 2015 Dr. Tulia Ackson alikuwa ametulia pale mlimani akifundisha sheria. Alikuwa "just a common citizen".
Mara puuuuh! huyoooo amepaa. Kutokea Novemba 2015 Dr. Tulia hakutulia tena, alipaa juu, juu zaidi Kama tai. What an achievement. Huyu dada anakitu ndani yake, nasema ana kitu...
Busara na hekima ni jambo muhimu sana kwenye maisha ikiwa ni pamoja na siasa. Salary Slip naona CHADEMA wanataka kurudia kosa lile lile. Ni wazi kuwa bado hawajajifunza kuhusu nini wananchi wanataka, nini kinaweza kutumika kuwaadhibu na zaidi sana nini maana ya kuweka mbele maslahi mapana ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.