Recent content by Aman Junior

  1. Aman Junior

    Hotuba ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda (mb), kuhusu Mapitio na Mwelekeo wa kazi za Serikali

    Hivi wewe kwa akili yako haihitaji ufafanuliwe kila kitu what matters here ni statistics na sio hotuba nzima kama unavyotaka
  2. Aman Junior

    Hivi ni vioja

    Ukurasa wa mwisho wa hotuba ya Waziri mkuu (Mh.Pinda) wakati akiomba bunge lipitishe bajeti yake na ya TAMISEMI alisema hivi: "Halmashauri zote zinaombewa jumla ya Shilingi Trilioni Nne, Bilioni Mia Mbili Thelathini na Moja, Milioni Mia Nne Arobaini na Mbili, Mia Tisa Sabini na Nne Elfu...
  3. Aman Junior

    Hotuba ya Waziri Mkuu Mizengo Pinda (mb), kuhusu Mapitio na Mwelekeo wa kazi za Serikali

    Ukurasa wa mwisho wa hotuba ya Waziri mkuu (Mh.Pinda) wakati akiomba bunge lipitishe bajeti yake na ya TAMISEMI alisema hivi: UNAELEWA HII INAMAANISHA NINI? Hii inamaanisha kuwa Sh.3,090,370,308,000/= sawa na 73.03% ni za matumizi ya kawaida kama kunywa chai, safari, warsha, semina, posho za...
Back
Top Bottom