tatizo sio kufa tu kwa chadema udsm,wanafunnzi wengi hawaelewi umuhimu wa uongozi bora kwa ngazi ya chuo,hawaelewi nchi inakwenda vipi,mijadala ya katiba na mambo ya msingi inafanyika vijweni tu,ukumbi wa nkurumah umekuwa wa mikutano tu na si wanafunzi kukutana na kujadili mambo ya msingi,kazi...