Recent content by Ama2boy

  1. A

    JamiiForums Tanzania Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    A-level Chemistry. B+ Biology. B Geography. C Basic Applied. C General studies. C Nitapata chuo gani chenye ajila na kwa kozi ipi?? Natanguliza salaaaam
  2. A

    JamiiForums Tanzania Muongozo na ushauri kwa wanafunzi udahili vyuo vikuu 2015/16

    Salaam wakuuu Napenda kuuliza kuhusu koz tajwa happened juu kwani. nimepata. Biology B+ chemistry B na Geography B. naombeni. ushauli. kwa hiyo kozi NB: nimehitimu form six 2015. nimesoma. CBG
  3. A

    JamiiForums Tanzania Dk. Slaa: Magufuli hafui dafu UKAWA

    Katibu Mkuu, Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) , Dk. Willibrod Slaa, alisema Magufuli hawezi kushindana na Ukawa, kwani kwenye jimbo lake la Chato chama hicho kimechukua sehemu kubwa ya uongozi kuanzia ngazi ya mitaa na kata. Dk. Slaa alisema ikiwa kwenye jimbo lake mwenyewe Ukawa...
  4. A

    JamiiForums Tanzania Tumpime Magufuli kwa sifa hizi na nafasi aliyoomba

    uwe na akili CCM sio wajinga mwanzo nyuma magufuli na jakaya walikua hawapatani Sibyl basi CCM wameona huuu mwaka ulikua mwisho wao wakamua kumuwekaa magufuli kwakua amefanya mengi kwenye ujenzi Kwataatifa yao CCM HAWAWEZI LABDA WAIBE KURA
  5. A

    JamiiForums Tanzania Tumpime Magufuli kwa sifa hizi na nafasi aliyoomba

    pole kwakua hujui kinachoendelea
  6. A

    JamiiForums Tanzania Magufuli: Nitawapeleka wapinzani makumbusho

    hatiweza kuwapeleka wapimzani
  7. A

    JamiiForums Tanzania Tumpime Magufuli kwa sifa hizi na nafasi aliyoomba

    Watanzania wanapelekwa na fikra za wachache Ila niwakumbushe tu kua magufuli hakufaa na wala hafai kua rais wa Tz kwani ni mmoja Kati ya wajumbe wa CCm waliopitisha katumba mbovu kabisa tatizo watanzania wengi hawana akili habari hawafatikii kazi kufurahi eti magufuli kapitishwa. EE we MUNGU...
  8. A

    JamiiForums Tanzania UKAWA wakijibu mapigo, taifa litazizima

    Akina nan we we wataje
  9. A

    JamiiForums Tanzania GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    kweli kabisa hapo sasa CCM haina chake
  10. A

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Dr Wilbrod Peter Slaa Kupeperusha Bendera Ya UKAWA!

    Peoplesssss slaa ndo Anaweza kuongoza nchi
  11. A

    JamiiForums Tanzania GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    hahahshaha Nawashauli wamlete Ash a migilo
Back
Top Bottom