Nafikiri kwa suala la usalama wa viongozi kulingana na majukumu yao ya kazi, kivipi? mfano kiongozi ametatua mgogoro wa mtu maskini na tajiri, na tajiri akawa ameshindwa kesi lakini hajafurahisha na adui yake hapo namba moja ni huyo kiongozi msuluhishaji. Sasa tajiri anao uwezo wa kumdhuru...
Tumeshasema Wapinzani Mwaka huu wamejikomesha wenyewe. Walianzia 2015 kuungana kama UKAWA. pale ndipo walipojizikia kaburi lao wenyewe. Na Mwaka huu ndo maziko rasmi. Warudi wakajipange.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.