Dr Slaa atakuja akwambie maana ya povu hilo unaloliandika hapa, na ninahc watu wengne wanaandika kabla ya kuwaza, we huwezi kuwa hata na akili ya kujiongeza ya kwamba kwa nn MTU ahamie huko baada ya kukataliwa sehem nyingne, kwa nn asingehamia mapema, cha kufanya n kuwaacha mkalipuana wenyewe...