Recent content by Alves124

  1. Alves124

    Msaada kuhama chuo cha afya NACTE baada ya kuahirisha kwa Muda Mrefu

    Nilianza uliza humu ili Nacte iwe kituo cha mwisho nlipo kwa sasa na ofisi za kanda za Nacte ni mbali pia
  2. Alves124

    Msaada kuhama chuo cha afya NACTE baada ya kuahirisha kwa Muda Mrefu

    Hicho ndio kinanipa jeuri nina hati safi toka first yeae nlisimama sababu za ada tuu aiseee
  3. Alves124

    Msaada kuhama chuo cha afya NACTE baada ya kuahirisha kwa Muda Mrefu

    Kwa hiyo ni ngumu kuhama ikiwa ulitakiwa kuingia level 5 semester 2 mpk uimalizie kule ulipokuepo?
  4. Alves124

    Msaada kuhama chuo cha afya NACTE baada ya kuahirisha kwa Muda Mrefu

    Habari zenu ndugu zangu wa JF Hii ni mara yangu ya kwanza kushiriki na swali ni kama linavyojieleza hapo Niliwahi soma clinical medicine mpk Level 5 semester 1 changamoto za ada ikanilazimu nisimame nihangaike na mishe zingine nashkuru Mungu nimejipata kiasi Sasa juzi wakati nacheki student...
  5. Alves124

    Msaada: Admission Letter Diploma Computer Science UDSM COICT

    Kwa hiyo wa diploma hawatumiwi admission letters kwa account zao za application mpk wazifate COICT vipi wamikoani nao
Back
Top Bottom