Recent content by alutesalim

  1. A

    Naomba kujua ubora wa mini tractor vst shakti mitsubishi hp 22

    Habari wadau wa kilimo, naomba mnifahamishe ubora, reliability wa mini tractor za mitsubish vst shakti za arusha zipoje field? Mana mimi nna mashamba yangu madogo tu sihitaji tractor kubwa ili nisave capital
  2. A

    Mrejesho: Kilimo cha mpunga Bahi

    Vp nikileta trekta langu huko ntapiga hela ya kutosha
  3. A

    Kuanzisha kiwanda cha kukoboa mpunga

    Nafatilia vyote kwa makini kk, hapa pia nafanya tafiti na kupata connection kabisa na watu ambao wapo field kabisa huko
  4. A

    Kuanzisha kiwanda cha kukoboa mpunga

    Asante kk, kama upo mngeta nadhanu takuja huko sku c nyingi naomba tuwasiliane, 0756744827 ukinitumia namba yako kwa msg itakua vzur
  5. A

    Kuanzisha kiwanda cha kukoboa mpunga

    Naomba ushauri ndugu zangu, nina mtaji wa M15 nataka nifungue kiwanda cha kukoboa mpunga, je hela hyo itatosha?, biashara hii inalipa?, yapi maeneo mazuri yakufanyia kwa wilaya ya mvomero mana mim sio mwenyeji hapo? Karibuni kwa ushauri
  6. A

    Kufungua kiwanda cha kukoboa mpunga

    Habarini wa jamvi, naomba kupewa ushauri kuhusu kufungua kakiwanda kadogo cha kukoboa mpunga maeneo ya mvomero morogoro. Naombeni ushauri kama inalipa na kama mnaweza pemdeza maeneo mazuri zaid katika kata za mvomero ili nifungue, nina mtaji wa milioni 15 hv utatosha? Karibuni
Back
Top Bottom