mkuu kila kitu alikamilisha wkt aliomba likizo ya kustaafu,kwani mpaka sasa wanadai hundi iko tayari mpaka isainiwe na benki kuu ndio itamfikia kupitia mwajiri hadi pspf mkoani mtwara
Mama anafatilia akiwa mkoani mtwara,kila akienda eti arudi au apige simu baada ya wiki mbili yaani miezi 4 sasa,mimi nilijaribu kufatilia wakanipa namba yao ya simu eti apige watamuelekeza,dah ni usumbufu
Wadau JF,
Napenda kujua, hivi mtumishi anapostaafu itachukua muda gani kulipwa mafao? Nina mama yangu alistaafu tangu Machi 31. Hadi leo anahangaikia malipo bila mafanikio, wanampiga kalenda sana, haelewi, wakati ile ni haki yake kisheria.
Hebu wenye uzoefu naombeni mawazo.
Habarini wanaJF wenzangu!
Nnatoa dukuduku ya niliyoshuhudia leo, leo nililazimika kwenda kuituma fomu ya bodi kinachoshangaza hawa jamaa wanataka tutume kwa EMS.
Nilifika posta nikakuta foleni kiasi ya watu wakingojea kupata huduma hiyo, nikaenda upande flani nikamkuta mlinzi anakagua form na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.