Recent content by Aluminium Technician

  1. A

    Kumi bora ya Bar za Arusha zisizoshuka viwango miaka yote

    Naipata Sana, kitambo sana Mimi huko, walikua wananiita mze wa Masanga, sasa hivi nimeamia Mbezi ya kimara huku Dar, viwanja vyangu ni viwili tu Kibozone na Ngao
  2. A

    Kumi bora ya Bar za Arusha zisizoshuka viwango miaka yote

    Hatari Sana, kuna Sikinde Bar ya mbauda pale sokoni, Nyama choma enzi hizo.
  3. A

    Mturuki anaye fanya PVC windows installation pale Goba

    single 5*6=643000 6*6=770000 Double 5*6=839000 6*6=1000000 Hiyo hapo Boss Kwa upande wa aluminium Single 5*6=400000 6*6=470000
  4. A

    Mturuki anaye fanya PVC windows installation pale Goba

    Chief Habari, tupeni wazawa hizo kazi, waturuki wametutesa sana, ila wengi wao wanafungasha virago, Emirates na Dubai nao wanaingia kwenye biashara Upvc, karibu Mbezi aluminium and Glass. 0743664260/0684617585
  5. A

    PVC windows gharama zake ni kubwa mno

    Kua makini Boss, sasa hivi Aluminium, upvc na vioo bei hazishikiki, Mimi ni technician na pia muuzaji wa materials, kila kukicha Bei zinapanda, hasa hasa kioo, vituo vingi vya polisi vimejaa kesi za mafundi Aluminium na vioo.
  6. A

    Kubamba kwa Klabu ya 40-40 ya Tabata kumeisha?

    Wazee wa Mbezi ya kimara tumetulia hapa Hardrock tunafukuza chawa
  7. A

    Milango ya kioo ipi ni mizuri na nafuu

    Wa kioo tupu ni mzuri sana, ila bei yake imechangamka, lakini huo wa chini wa Aluminium Bei yake watu wengi wanamudu Bei zake ndio maana unaiona mingi kwenye maduka na ofisi nyingi. Karibu sana Mbezi Aluminium and Glass upate madirisha ya aluminium aina zote, milango ya Aluminium aina zote...
  8. A

    Mtaalamu wa Aluminium na Vioo Mbezi ya Kimara

    Mbezi Aluminium and Glass, Wataalamu na wabobezi wa kutengeneza madirisha ya aluminium aina zote, milango ya Aluminium aina zote, Office partition, Balusters, Kitchen cabinets. Pia tuna ofa zifuatazo; = Madirisha ya chooni = Usafiri mpaka site ni juu yetu = Tuna Generator kwa zile Site ambazo...
  9. A

    Nifanye kipi kati ya kuweka ya tiles, Aluminium windows na gypsum board?

    Funga gpsum, tiles vyooni,piga Aluminium Boss, usisahau kua Mimi ni Fundi Aluminium, Office yangu na workshop yangu ziko Mbezi mwisho ya Kimara. Karibu sana nitakufanyia Bei fair Kabisa. 0743664260 au 0684617585
  10. A

    Hebu leo wakumbuke wahadhiri wa vyuo vikuu waliokufurahisha kwa jinsi ya umahiri wao wakufundisha na walivyokuwa 'fair'

    Fungo, Mtaalamu wa Business Law. IFM. Popote ulipo Heshima yako. Sio kwa Stress zile.
  11. A

    Lodge nzuri Arusha City isiyozidi Tshs 30,000

    Masoko, iko Mbauda. Bei ni Elfu kumi tu ni kama Ulaya.
  12. A

    Mtaalamu wa Aluminium na Vioo

    Vijana wa kujifunza wanachukuliwa kwa awamu, nicheki kwenye namba yangu ili nitunze mawasiliano.
  13. A

    Mtaalamu wa Aluminium na Vioo

    Laki mbili na thelathini Boss
Back
Top Bottom