Naipata Sana, kitambo sana Mimi huko, walikua wananiita mze wa Masanga, sasa hivi nimeamia Mbezi ya kimara huku Dar, viwanja vyangu ni viwili tu Kibozone na Ngao
Chief Habari, tupeni wazawa hizo kazi, waturuki wametutesa sana, ila wengi wao wanafungasha virago, Emirates na Dubai nao wanaingia kwenye biashara Upvc, karibu Mbezi aluminium and Glass. 0743664260/0684617585
Kua makini Boss, sasa hivi Aluminium, upvc na vioo bei hazishikiki, Mimi ni technician na pia muuzaji wa materials, kila kukicha Bei zinapanda, hasa hasa kioo, vituo vingi vya polisi vimejaa kesi za mafundi Aluminium na vioo.
Wa kioo tupu ni mzuri sana, ila bei yake imechangamka, lakini huo wa chini wa Aluminium Bei yake watu wengi wanamudu Bei zake ndio maana unaiona mingi kwenye maduka na ofisi nyingi. Karibu sana Mbezi Aluminium and Glass upate madirisha ya aluminium aina zote, milango ya Aluminium aina zote...
Mbezi Aluminium and Glass, Wataalamu na wabobezi wa kutengeneza madirisha ya aluminium aina zote, milango ya Aluminium aina zote, Office partition, Balusters, Kitchen cabinets. Pia tuna ofa zifuatazo;
= Madirisha ya chooni
= Usafiri mpaka site ni juu yetu
= Tuna Generator kwa zile Site ambazo...
Funga gpsum, tiles vyooni,piga Aluminium Boss, usisahau kua Mimi ni Fundi Aluminium, Office yangu na workshop yangu ziko Mbezi mwisho ya Kimara. Karibu sana nitakufanyia Bei fair Kabisa. 0743664260 au 0684617585
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.