Recent content by alsam

  1. alsam

    JamiiForums Tanzania Kuyafikia mafanikio ya ufugaji kwa kuku wa broiler

    Nguvu kazi, mabanda, Dactar (constant) pia uziweke hata hivyo gharama ya 6K per kuku ni kubwa ujitahidi kupunguza
  2. alsam

    JamiiForums Tanzania Kuyafikia mafanikio ya ufugaji kwa kuku wa broiler

    Asante kwa details nzur sana please hebu toa mchanganuo wa gharama za 6K inainclude vitu gani??
  3. alsam

    JamiiForums Tanzania Kuyafikia mafanikio ya ufugaji kwa kuku wa broiler

    Maana yake faida ni 3k kwa kila kuku ambapo kila kuku anakulipa Sh 100 Kwa siku faida , ni sawa na kusema katika 9K ya mauzo 66% ni gharama za uendeshaji. Je unafuga kwa wingi gani??? Ili kuna jambo tueleshane
  4. alsam

    JamiiForums Tanzania Kuyafikia mafanikio ya ufugaji kwa kuku wa broiler

    Ikiwa kuku amegharimu 6k ww unamuuza pesa ngap???
  5. alsam

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mpunga

    Mara nyningi inakuwa 120k and above lkn inategemea na Demand and supply but always kuanzia October price inakuwa high
  6. alsam

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mpunga

    Kupanda ni kuanzia mwezi wa 10 maana kibongo bongo mpunga unavunwa mara moja ambapo ni Mwezi 4-6
  7. alsam

    JamiiForums Tanzania Biashara ya Mpunga

    Zote Biashara nzur sana inegemeana na ww muda wako na ufuatiliaji wako Kwa sasa hivi kwa maeneo Tabora Gunia la mpunga ni around 90K to 100K while ukisema ulime hilo gunia can cost you around 10K-20K so uchaguzi ni wako na soko lako lkn ni Biashara moja nzuri sana na recomendeble kwa sanabu sio...
  8. alsam

    JamiiForums Tanzania Update: Mfano wa oda ya mbao kutoka Njombe kupeleka Dar es Salaam yenye mchanganuo wa gharama na vibali vyote

    Very informative content please naomba uelezee mbao zenye Dawa na ambazo hazina dawa
  9. alsam

    JamiiForums Tanzania Nauza Hisense nchi 43 smart UHD

    Bandua izo karatasi uniuzie kwa 200k
  10. alsam

    JamiiForums Tanzania Nauza Hisense nchi 43 smart UHD

    Nikupe 350K??
  11. alsam

    JamiiForums Tanzania Kuku wakubwa wa kienyeji

    Lengo kuu ni kutafuta njia rahisi ya kutengeneza hela sio lazima ufate njia wanazofanya watu
  12. alsam

    JamiiForums Tanzania Kuku wakubwa wa kienyeji

    Kwa mazingir Kwa mazingira niliyopo am sure napata kuku c zaidi ya 12K maana nanunua sana wa kula naunua kijijin broo hizo bei za 23K ni za sokon broo
  13. alsam

    JamiiForums Tanzania Kuku wakubwa wa kienyeji

    Habarini wadau Je kuku wakubwa km jogoo au koounaweza kumpa change zote na kweli ikawa tiba ama kinga kwa Magonjwa. Maana nina mpango wa kununua makoo mengi ili niwafanye kwa ajili ya kuuza mayai tu tray moja ni 15K. Sasa nimepiga hesabu naona kunua makoo ni rahisi kwa mazingira niliopo...
Back
Top Bottom