Habarini wadau
Je kuku wakubwa km jogoo au koounaweza kumpa change zote na kweli ikawa tiba ama kinga kwa Magonjwa.
Maana nina mpango wa kununua makoo mengi ili niwafanye kwa ajili ya kuuza mayai tu tray moja ni 15K. Sasa nimepiga hesabu naona kunua makoo ni rahisi kwa mazingira niliopo...
Summary
1.Biashara itakayokupa faida kubwa ndani muda wa mwaka mmoja.
2. Biashara inayotembea kwa kasi zaidi
3.Biashara ya mkoa wowote
Maswali.
1. Faida kubwa ndio kiasi gani??
2. Biashara inayotembea kwa kasi zaidi una maana gani??
Toa ufafanuzi please
Hongera Kwa uzi mzuri na kwa ujasiri Allah akuzidishie.
Kwenye mazao ya nafaka kwa Tz ambayo unaweza pata Tani kuanzia 3 Digit instantly kama100, 200 ni Mpunga na Mahindi na Kdg Karanga lkn mazao ya nafaka yaliobakia kupata Digit 3 ni mtiti kweli kweli .
Mimi nina uzoefu na mpunga na karanga...
Kiukweli Biashara sio kitu rahisi hata kidogo na watu hawapendi vitu vigumu so in bigness bila kujitoa huwezi toboa hata kidogo wengi wetu tunaishia kuajiriwa tu hata hao wafanya biashara 90% biashara wanaziendesha kihasara bila wao kujijua.
Price difference pekee haitoshi ww kuendelea kulikamata soko cha muhumu ni kuongeza offer ambazo washindan wako wasiweze kuzitoa mfano kuna bidhaa kwa jumla zinauzwa rahisi sana mteja anaweza nunua unga KG 1 ww ukamuongeza na kiberiti, au nyanya kdg au bidhaa yoyote ambayo haitokuwa na hasara...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.