Recent content by alsam

  1. alsam

    Update: Mfano wa oda ya mbao kutoka Njombe kupeleka Dar es Salaam yenye mchanganuo wa gharama na vibali vyote

    Very informative content please naomba uelezee mbao zenye Dawa na ambazo hazina dawa
  2. alsam

    Nauza Hisense nchi 43 smart UHD

    Bandua izo karatasi uniuzie kwa 200k
  3. alsam

    Nauza Hisense nchi 43 smart UHD

    Nikupe 350K??
  4. alsam

    Kuku wakubwa wa kienyeji

    Lengo kuu ni kutafuta njia rahisi ya kutengeneza hela sio lazima ufate njia wanazofanya watu
  5. alsam

    Kuku wakubwa wa kienyeji

    Kwa mazingir Kwa mazingira niliyopo am sure napata kuku c zaidi ya 12K maana nanunua sana wa kula naunua kijijin broo hizo bei za 23K ni za sokon broo
  6. alsam

    Kuku wakubwa wa kienyeji

    Habarini wadau Je kuku wakubwa km jogoo au koounaweza kumpa change zote na kweli ikawa tiba ama kinga kwa Magonjwa. Maana nina mpango wa kununua makoo mengi ili niwafanye kwa ajili ya kuuza mayai tu tray moja ni 15K. Sasa nimepiga hesabu naona kunua makoo ni rahisi kwa mazingira niliopo...
  7. alsam

    Je PBZ wanaruhusu kufanya topup loan... Vigezo gani wanataka

    Ndio wanaruhusu vigezo ni vya mikopo vile vile
  8. alsam

    Naomba ushauri: Nina Tsh. Milioni 25, nifanye biashara gani?

    Summary 1.Biashara itakayokupa faida kubwa ndani muda wa mwaka mmoja. 2. Biashara inayotembea kwa kasi zaidi 3.Biashara ya mkoa wowote Maswali. 1. Faida kubwa ndio kiasi gani?? 2. Biashara inayotembea kwa kasi zaidi una maana gani?? Toa ufafanuzi please
  9. alsam

    Yule kijana wa mkopo Milioni 30: Fuatilia nilivyofanya kwenye Mahindi Sasa natafuta masoko ya mazao mengine

    Hongera Kwa uzi mzuri na kwa ujasiri Allah akuzidishie. Kwenye mazao ya nafaka kwa Tz ambayo unaweza pata Tani kuanzia 3 Digit instantly kama100, 200 ni Mpunga na Mahindi na Kdg Karanga lkn mazao ya nafaka yaliobakia kupata Digit 3 ni mtiti kweli kweli . Mimi nina uzoefu na mpunga na karanga...
  10. alsam

    Kwanini nyuzi za bizness hazitembei ukilinganisha na majukwaa mengine

    Kiukweli Biashara sio kitu rahisi hata kidogo na watu hawapendi vitu vigumu so in bigness bila kujitoa huwezi toboa hata kidogo wengi wetu tunaishia kuajiriwa tu hata hao wafanya biashara 90% biashara wanaziendesha kihasara bila wao kujijua.
  11. alsam

    Vita ya biashara ni ngumu, nimepambana nayo sasa naonekana mbaya

    Price difference pekee haitoshi ww kuendelea kulikamata soko cha muhumu ni kuongeza offer ambazo washindan wako wasiweze kuzitoa mfano kuna bidhaa kwa jumla zinauzwa rahisi sana mteja anaweza nunua unga KG 1 ww ukamuongeza na kiberiti, au nyanya kdg au bidhaa yoyote ambayo haitokuwa na hasara...
  12. alsam

    Fursa Uliyankulu Tabora

    Asante Sana
Back
Top Bottom