Kuna njia nyingi za kupambana na watu wanaotishia amani. Na moja wapo ni kama hiyo na mpaka sasa hakuna uthibitisho wowote wa yeye kupigwa risasi. Kwa jinsi ya ushabiki wa watanzania mpaka sasa tungeona picha tayari mitandaoni jiulize zipo wapi mpaka sasa au na wao hawaliamini jeshi la polisi.
Sioni kosa hapo, huyu mtu anahamasisha udini na uislamu wa msimamo mkali kwa nini hachukuliwi hatua. Mpaka sasa serikali imekaa kimya bila kufanya lolote , ikiishia kulalama,....je na wenyewe wanahusika?. Udini upo lakini unamipaka yake siku zote, na sioni tatizo pale watu wanaotaka kuleta udini...
Ben Si lazima uwe na sera ya majimbo kuwa kalibu na wananchi,kwanza linapokuja jambo kuhusu majimbo Hatua ya kwanza ni ya kuyapa majimbo uhuru wa kuweA kujiamulia mambo yake kwa kufuata katiba ya nchi,pili hii inaamanisha kwamba jimbo litakuwa na serikali yake yenye mahakamani,polisi,jeshi n.k...
Poor analysis and one sided.....Lukololo uwezo wa uchambuzi wako katika mambo ya kiintelijensia nina shaka nao.Kabla sijaingia kiundani hebu jaribu kugoogle 'Too fast..too furious Mexico Guns' utatambua hata nchi huwa zinapandikiza watu wake kutenda kitu ili kuwakamata waarifu.Nirudi kwenye hoja...
Poor analysis and one sided.....Lukololo uwezo wa uchambuzi wako katika mambo ya kiintelijensia nina shaka nao.Kabla sijaingia kiundani hebu jaribu kugoogle 'Too fast..too furious Mexico Guns' utatambua hata nchi huwa zinapandikiza watu wake kutenda kitu ili kuwakamata waarifu.Nirudi kwenye hoja...
sijataka kumalizia kusoma majibu ya watu kwa kuwa wote mpo ndotoni tu...kwa ufupi CCM/VYOMBO VYA HABARI VYA CCM VIKIINGIRIA WANA CHADEMA WATAJIUNGA WATAKUWA KITU KIMOJA NA KUMALIZANA WENYEWE KIMYA KIMYA.SASA KWA KUKAA KIMYA WANACHOCHEA UGOMVI UENDELEE KWA KUONYESHA JAMBO HILI SI LA UMUHIMU...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.