Hongera kwa uchambuzi mzuri mkuu. Kama sababu ni hizo, inaonekana hakufanya market research ya kutosha, kujua soko linataka nini na atumie njia gani kupenya na kubakia kwenye soko.
Mkuu, unashauri nini afanye ili kuweka mambo sawa, biashara yake isonge mbele?
Maana hali kama hii inavunja moyo kwa mtu mwenye wazo la kuwekeza katika soko la teknolojia nchini mwetu.
Uko sahihi mkuu. Hiyo inayokufa inaitwa microcontroller, ambayo inahusika na settings za muziki na display operation kwa pamoja. Mafundi wengi huita display tu.
Kwa sasa zile zinazotumia PT2313 zinatengenezeka.
Kodtec(Konzo Digital Technology) ni kampuni ya Mtanzania aitwaye Japhet Patrick Konzo, ambayo bidhaa zake hutengenezwa China, under Kodtec-branded ODM business model.
Nashindwa kujua kampuni ya Kodtec inakwama wapi, maana subwoofer zake zinakubalika sana sokoni. Labda kulingana na ubora wake...
Kwa mtazamo wa juu juu usio wa kitaalamu zaidi, uko sahihi. Ila kwa mtazamo wa kitaalamu zaidi, mkuu nerilan yuko sahihi. Speaker impedance inabadilika kulingana na input frequencies zinazoingia kwenye driver(speaker), kinatokea kitu kinaitwa coil inductive reactance. Ambacho hakibadiliki ni...
Ni ngumu kupitisha signal moja kwa moja kwenye PT2313 kwa kuwa hakutakuwa na I2C commands za kuendesha hiyo PT2313 kutoka kwenye MCU, ambazo zitafanya signal za sauti ziwe selected kwenye source channel, pia ku-set attenuators za output channels, treble, gain etc.
Hivyo PT2313 haitafanya kazi...
Pole sana ndugu.
Kwa kuwa unakula vyakula vyenye fibre kama parachichi na ndizi, lakini tatizo bado liko pale pale, pendelea kula vyakula vyenye fibres kwa wingi kama viazi vitamu ambavyo vina soluble fibre(pectin) na insoluble fibre(cellulose) kama chakula chako cha kila siku, vyakula vyenye...
Mkuu, inaonekana hujasoma kwa utulivu post #59, nimeelezea kwa upana.
Ndiyo, tulipiga MRI kwa kutumia bima ya NHIF 2019, si kwa vifurushi vya NHIF 2024.
Huyo daktari bingwa sikumuona kupitia MOI, bali moja ya hospitali zake binafsi.
Habari Mkuu.
Nami kabla sijaugua, nilikuwa napaona pa kawaida sana (kama zahanati tu), pamoja na kujitangaza kuwa ni madaktari bingwa. Siku niliyopata tatizo la kiafya, pia nilienda kutibiwa hapo nikapata huduma za kawaida tu(kupewa dawa za maumivu tu bila vipimo).
Hali ya kiafya ilivyozidi...
PCMC Upanga, Kigamboni na Kimara. Tulipata huduma Kigamboni, maana tulikuwa tunaishi huko.
MRI ilifanyika BESTA Diagnostic Centre, Kinondoni na Nerve Conduction Studies (NCS) ilifanyika hapo hapo Kigamboni.
Tulitumia bima ya NHIF.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.