Recent content by alpha1

  1. alpha1

    Niulize chochote kuhusu Subwoofer na Sounds system

    Hongera kwa kazi nzuri Mkuu.
  2. alpha1

    Tatizo la kutopata Choo

    Pole sana ndugu. Kwa kuwa unakula vyakula vyenye fibre kama parachichi na ndizi, lakini tatizo bado liko pale pale, pendelea kula vyakula vyenye fibres kwa wingi kama viazi vitamu ambavyo vina soluble fibre(pectin) na insoluble fibre(cellulose) kama chakula chako cha kila siku, vyakula vyenye...
  3. alpha1

    Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Mkuu, inaonekana hujasoma kwa utulivu post #59, nimeelezea kwa upana. Ndiyo, tulipiga MRI kwa kutumia bima ya NHIF 2019, si kwa vifurushi vya NHIF 2024. Huyo daktari bingwa sikumuona kupitia MOI, bali moja ya hospitali zake binafsi.
  4. alpha1

    Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Habari Mkuu. Nami kabla sijaugua, nilikuwa napaona pa kawaida sana (kama zahanati tu), pamoja na kujitangaza kuwa ni madaktari bingwa. Siku niliyopata tatizo la kiafya, pia nilienda kutibiwa hapo nikapata huduma za kawaida tu(kupewa dawa za maumivu tu bila vipimo). Hali ya kiafya ilivyozidi...
  5. alpha1

    Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    PCMC Upanga, Kigamboni na Kimara. Tulipata huduma Kigamboni, maana tulikuwa tunaishi huko. MRI ilifanyika BESTA Diagnostic Centre, Kinondoni na Nerve Conduction Studies (NCS) ilifanyika hapo hapo Kigamboni. Tulitumia bima ya NHIF.
  6. alpha1

    Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Ndiyo. Ni Dr wa mfumo wa fahamu. Ila hatukuhudumiwa Muhimbili, isipokuwa moja ya hospitali zake hapo Dar.
  7. alpha1

    Dawa ya maumivu ya kiuno

    Tuko pamoja mkuu. Naeleza hayo kutokana na uzoefu wa kulala miaka mitatu na miezi sita kitandani hadi nilipoanza kukaa kama kawaida, maana mwanzoni, pingili za mgongo zilishindwa kuubeba uzito wa mwili, japokuwa mimi si mnene. Nilikuwa nafanya kazi nikiwa nimelala kitandani. Tatizo lilikuwa...
  8. alpha1

    Msaada daktari bingwa wa mishipa ya fahamu na ubongo MOI

    Pole kwa kuuguliwa. Pia kuna Dr Njenje hapo MOI.
  9. alpha1

    Dawa ya maumivu ya kiuno

    Pole kwa tatizo ulilonalo. Kwa kuwa chanzo cha tatizo unakijua, anza kwa kuacha kubeba vitu vizito. Pili, kwa muda ambao hulazimiki kukaa, lala chali sehemu ngumu tambarare kuondoa mgandamizo kwenye disc za pingili za mgongo zilizoumia ili zipate muda wa ku-recover angalau kwa uchache. Tatu...
  10. alpha1

    Math challenge

    5
  11. alpha1

    Math challenge

    E+E+E=15 3E=15 E=15/3 E=5. E+C=8, since E=5, 5+C=8 C=8-5=3. C+E+B=10, since C=3, E=5 then 3+5+B=10, therefore B=10-3-5=2. B+C*J=? Since B=2, C=3 and J=unknown; 2+3*J=unknown.
  12. alpha1

    Math challenge

    3Y=120 Y=120/3=40. X+Y=50 since Y=40, X+40=50 X=50-40=10. X+Z=35 since X=10 10+Z=35 Z=35-10=25.
  13. alpha1

    Math challenge

    36
  14. alpha1

    Math challenge

    28
Back
Top Bottom