Pole sana ndugu.
Kwa kuwa unakula vyakula vyenye fibre kama parachichi na ndizi, lakini tatizo bado liko pale pale, pendelea kula vyakula vyenye fibres kwa wingi kama viazi vitamu ambavyo vina soluble fibre(pectin) na insoluble fibre(cellulose) kama chakula chako cha kila siku, vyakula vyenye...
Mkuu, inaonekana hujasoma kwa utulivu post #59, nimeelezea kwa upana.
Ndiyo, tulipiga MRI kwa kutumia bima ya NHIF 2019, si kwa vifurushi vya NHIF 2024.
Huyo daktari bingwa sikumuona kupitia MOI, bali moja ya hospitali zake binafsi.
Habari Mkuu.
Nami kabla sijaugua, nilikuwa napaona pa kawaida sana (kama zahanati tu), pamoja na kujitangaza kuwa ni madaktari bingwa. Siku niliyopata tatizo la kiafya, pia nilienda kutibiwa hapo nikapata huduma za kawaida tu(kupewa dawa za maumivu tu bila vipimo).
Hali ya kiafya ilivyozidi...
PCMC Upanga, Kigamboni na Kimara. Tulipata huduma Kigamboni, maana tulikuwa tunaishi huko.
MRI ilifanyika BESTA Diagnostic Centre, Kinondoni na Nerve Conduction Studies (NCS) ilifanyika hapo hapo Kigamboni.
Tulitumia bima ya NHIF.
Tuko pamoja mkuu. Naeleza hayo kutokana na uzoefu wa kulala miaka mitatu na miezi sita kitandani hadi nilipoanza kukaa kama kawaida, maana mwanzoni, pingili za mgongo zilishindwa kuubeba uzito wa mwili, japokuwa mimi si mnene. Nilikuwa nafanya kazi nikiwa nimelala kitandani. Tatizo lilikuwa...
Pole kwa tatizo ulilonalo.
Kwa kuwa chanzo cha tatizo unakijua, anza kwa kuacha kubeba vitu vizito.
Pili, kwa muda ambao hulazimiki kukaa, lala chali sehemu ngumu tambarare kuondoa mgandamizo kwenye disc za pingili za mgongo zilizoumia ili zipate muda wa ku-recover angalau kwa uchache.
Tatu...
E+E+E=15
3E=15
E=15/3
E=5.
E+C=8, since E=5,
5+C=8
C=8-5=3.
C+E+B=10, since C=3, E=5 then
3+5+B=10, therefore
B=10-3-5=2.
B+C*J=?
Since B=2, C=3 and J=unknown;
2+3*J=unknown.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.