Haha dalili za kuishiwa, walianza na Umoja ni ushindi, wakaja hapa kazi tu, sasa wamekuja na m4c. Ikitoka hiyo huenda wakaanza kumuita dr. John E Lowasa
Hivi kwel mtu aliyewaambia watu wa kigamboni kuwa atakayeshindwa kulipa nauli ya pantoni apige mbizi, ndo huyo atagawa laptop za bure? Embu tuachane ndoto za mchana aise
hii ndo tabu ya kuwa na wanasiasa walafi na wabinafsi wanaopigania maslahi yao kwanza na ya utaifa baadae..hv wanataka kusema wanapokuwa katika shughuli zao binafsi kwa siku wanaweza ingiza zaidi ya hiyo laki 3 kwel???
duuuh hivi hiyo ya kuwaandikia barua si ndo unajifunga 2 kwao afu ukamalza watakufuatilia 2...cha maana n kutowaandikia kitu chochote 2 tweze2n vyuon 2....n mtizamo 2 wandugu
daah ki ukwel ifm kuna ukiritimba mkubwa na wizi mtupu...embu fikiria kuwa student id et buku 20000 whle vyuo vingne n buku 5 had 8..et registration n 50000 while vyuo vngne n buku 10 2...c wizi huu???
Kwa wale waliochaguliwa kujiunga na chuo cha usimamizi wa fedha(IFM) n kwamba admission letters na joining instructions zmeshaanza kutolewa chuon hapo tokea jana....kwa maelezo zaidi tembelea ofisi zao chuoni hapo kwa maana bado hawaziweka kwenye website yao..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.