kulingana na mtiririko wa bandiko lako na ukweli wa mambo ulivyo hii idara bora ibadilishwe jina na kuitwa idara ya usalama wa Rais / na vigogo wa serikali na maslahi yao
Mtu akishaitwa Duni unategemea haya:
Akili duni
Fikra duni
Mtazamo duni
Mawazo duni
Huyo ni Duni hata mtu kumfuatilia mpaka kuleta uzi hapa naye ni duni
Huu uzi ni mzito sana inatakiwa uwekwe kila mahali nchi nzima na kufundishwa mashuleni na vyuoni. Samia hamna kitu pale. Ni huu ujinga wa ccm kubebana kwa kujuana, mitala nk ila huyu hata uwaziri hatoshi achilia mbali makamu wa Rais na sasa hivi Rais. Mgufuli hakumchagua maana mpaka anateuliwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.