Recent content by allymbaga

  1. A

    Yaliyojiri viwanja vya Furahisha Mwanza: Mkutano wa kampeni ya Dr. John Magufuli - Oktoba 17, 2015

    hakuna kutapika wala nn watu wamesombwa kutoka musona na mabasi ya zakaria unasema imetapika wapi
  2. A

    Yaliyojiri: Mazishi ya Mohamedi Mtoi, Lushoto - Tanga

    andika mambo yamsingi achakuandika ujinga
  3. A

    Mkutano wa mgombea mwenza wa CCM Arusha

    watuwalioletwa na coster usa river walitoka elerai na maeneomengine bada ya mgombea kupanda jukwaani watu wa coster waliondoka kwani walikuja kujaza uwanja hatarobo hajafika baada ya mgombea kupanda jukwaani coster ziliondoka
  4. A

    Mkutano wa mgombea mwenza wa CCM Arusha

    kwahapa usa river walipanga kufanyasa6 lakini mpaka saa8 ndio walianza kwani walikwepo hawana watu walileta watu na hice mara 8 coster mbili kila toyo lita5 zamafuta lakini mengi yalikwepo magari ya msafara
  5. A

    GE2015 Nape: Fisadi akipitishwa na CCM nitaongoza kundi la vijana kumpinga

    sawa kabisa mamuzi kamahayo nimazuri endapo yatazigatiwa kwani hilonijanga lataifa letu
  6. A

    Prof.Maghembe Mlango Uko Wazi Tunaomba Utoke Tu Imetoshaaaa

    tatizo hao wamama wa usangi hawajaelewa pamoja na wazee kwani wanadanganywa nakanga kofia navitenge wakishindwa kuelewa kwamba hao ma ccm niwachumiatumbo lakini cjuii kwa nini? watu wausangi hambadiliki haswa wa mama wa hapodarajani
  7. A

    Rais Kikwete ateua wabunge wapya wawili

    wamepewa haka kamda wale nawao kidogo
Back
Top Bottom