watuwalioletwa na coster usa river walitoka elerai na maeneomengine bada ya mgombea kupanda jukwaani watu wa coster waliondoka kwani walikuja kujaza uwanja hatarobo hajafika baada ya mgombea kupanda jukwaani coster ziliondoka
kwahapa usa river walipanga kufanyasa6 lakini mpaka saa8 ndio walianza kwani walikwepo hawana watu walileta watu na hice mara 8 coster mbili kila toyo lita5 zamafuta lakini mengi yalikwepo magari ya msafara
tatizo hao wamama wa usangi hawajaelewa pamoja na wazee kwani wanadanganywa nakanga kofia navitenge wakishindwa kuelewa kwamba hao ma ccm niwachumiatumbo lakini cjuii kwa nini? watu wausangi hambadiliki haswa wa mama wa hapodarajani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.