Rushwa ni kitu chochote Cha thamani kinachotolewa Kwa lengo la kumshawishi mtu afanye au asifanye jambo fulani kinyume na taratibu na Sheria. Aidha kwa mujibu wa benki ya Dunia rushwa ni matumizi mabaya ya madaraka kwa manufaa binafsi.
Sheria za Tanzania zimeharamisha vitendo vya rushwa chini...
Kitu cha kwanza ni kujielimisha kuzijua haki zetu katika sehemu tunazoenda kupata huduma. Wengi tunatumbukia kwenye mtego wa rushwa kwa sababu hatutambui haki na wajibu wetu. Pia kila mmoja anao wajibu wa kutekeleza katika mapambano dhidi ya rushwa ikiwa ni pamoja na kuripoti vitendo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.