Recent content by allykisula

  1. allykisula

    Naomba msaaada kuhusu kuhama chuo

    Ahsante brother nimekupm
  2. allykisula

    Eckenford Tanga University tukutane hapa

    Ndiyo Mimi nimewasiliana nao wamedai hivyo
  3. allykisula

    Naomba msaaada kuhusu kuhama chuo

    Wakuu habari ya jioni mi naomba msaaada kuhusu kuhama chuo pamoja na kozi uliyopangiwa kutoka private kwenda private je inawezekana kwa bachelor degree ???na kama ndivyo taratibu gani naweza kufuata ili kukamilisha muamala huo naombeni mnisaidie wapendwa.ahsante
  4. allykisula

    Eckenford Tanga University tukutane hapa

    Kwa tuliochaguliwa enkernford tanga university tukutane hapa tupeane updates
  5. allykisula

    Aliyeweza kudownload majina ya chuo cha Ekernford Tanga

    Jaman habarini za jioni samahani kama kuna yeyote aliyefanikiwa kuyadownload majina ya degree mwaka 2016/2017 aniPM Nimpe namba angu anitumie whatsup kozi asaiv kwenye simu yangu inandika not found ila majina yapo kwenye website yao
  6. allykisula

    Yaliyonikuta CAS ya TCU,Hisia zangu na Ushauri.

    Hiyo haina tatizo mbona kozi mfumo na vyeti ni vitu viwili tofauti na ndiyo mana kila mtu anatumia namba badala ya jina ukiingiza namba jina lifajitokeza kama lilivyo kwenye cheti hivyo usiwe na waswas
  7. allykisula

    Maombi ya kujiunga MUM hupitia TCU?

    Hakuna chuo ambacho kina sajili wanafunzi bila kupitia TCU AU NACTE hivyo acha kuupotosha umma maombi yote yanapitia TCU NA NACTE
  8. allykisula

    Hatimaye bodi ya mikopo waanza kuwafungukia form six kwa kutoa majina ya waliokosea kujaza fomu

    Bodi ya mkopo leo imetoa majina ya waombaji wa mwaka 2016/2017 waliokosea kwenye form zao na wengine watakiwa kufika kwenye ofisi za BODI hawa ni wale ambao hawakusaini kwenye fomu hivyo wametakiwa kufika DAR NAMJOMA ROAD kuona majina hayo tembelea www.olas.heslb.go.tz
  9. allykisula

    NATIONAL INSTUTE OF TRANSPORT (NIT) VUNJENI UKIMYA SASA

    Jamani nit vunjeni ukimya mtoe majina ya undergraduates mana hadi vingine vimeanza kutoa second round nyinyi first round hamtoi mnatuumiza vunjeni ukimya
  10. allykisula

    Eckernforde Tanga University haina website

    Sasa wewe kumbe elimu yako ni shida haikusaidii kabisa kama neno temporarily disabled ndo limekuchanganya wakati hata tcu wakati mwingine waga inaandika hivyo think big
  11. allykisula

    Eckernforde Tanga University haina website

    Uongo uongo uliokubuhu babu acha uongo hicho chuo kina website na kila siku naingia kwenye website yao ambayo ni WW.ETU .AC.TZ
  12. allykisula

    NIT diploma

    Joining instruction ipo pale kwenye website yao ww.nit.ac.tz Kuhusu kuripoti hapo sijajua
Back
Top Bottom