Jaman ndugu zangu hizo habr zilizosambazwa nizakwel mm mwnywe binafsi niilishaitw kweny interview week ilopita siku ya ijumaa na tukafany mtihan mtihan apo wa dakika 45 weny maswali 20 kisha wakasem twende HR Atatupigia sim bt mpk nw tumekaa tunasubiria.....ushaur interview ilishaisha toka zamn...
Kama walikua hawataki kutoa mkopo kwa wasosoma masomo ya science si wangesem tusiapply olams watu tumelipia fedha kuomba mkopo fedha wamebeba mwisho wanasem hawatoi mkopo aaaghh
Jaman anayoyaongea brother apo nikwel kabc,mm hp nimeomba batchelor degree huu mwaka selection zavyuo kwnz zimetok kwakusua sua mpka now nimepigiw sim naambiw walochaguliw kupew mikopo ni watu kam 2500 tyu kat ya wat 87000.
Na nimeingia katk account kuanglia allocation ya loan ndohicho hicho...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.