Hivi hakuna uwezekano tungewabembeleza wakanada tuwarudishie watupe pesa yetu au tuwape kazi ya mtandao wa umwagiliaji nchi nzima matokeo yake ingekuwa makubwa namna hii hatutofanikiwa haraka kama taifa tunatakiwa ingetungwa sheria kama mtu unataka gombea urais Tanzania unatakiwa utaje vitu...
Miaka inaenda taratibu sana tumefikia hatua mtu anaumwa kichwa unapasua mguu hii ni hatari napenda tupate daktari ambae atajuwa naumwa kichwa atadili nakichwa hata kama iposiku mguu utauma lakini kwasasa mguu nisalama tatizo letu kubwa ni reli ndio uti wamgongo pamoja na kilimo cha umwagiliaji...
Watu tunacho sikitika taasisi kama hii iliyojipa majukumu nihudumia Mimi muislam ikitumika kama bunzi la mahindi ambalo huanza kabla baadae hutupwa nakuchukua punje nakuzihifadhi lenyewe bunzi wakilionea huruma wanalichoma
Nasikitika sana bakwata ambayo inashindwa ielekee wapi ili iaminike kwa waumini wala haitakiwi bakwata iungane na matamko yahizo imani au mazehebu mengine kwani bakwata inajuwa jamii inayopaswa kuingoza inamatatizo gani niwakati sasa kutumia muda huu kumaliza matatizo yanayo isumbua jamii hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.