Wasaliti wafuasi wa chama kipya leo wamepata aibu baada ya Mh Ally Kisala kuhudhuria kwenye mkutano wa hadhara Kata ya kasimbu na kukanusha uvumi wa kufukuzwa uenyekiti wa Mkoa wa Chadema mkoani kigoma.picha👇👇
Mbunge wa zamani wa k/Kasikazini amekataa katukatu kurudisha hati ya kidiplomasia ya kusafiria licha ya sheria kumtaka afanye hivyo
Je huu Ndio uzalendo?
. Kisa nikwamba kuna MTU anaitwa fowad anagombea udiwani kata ya kacmbu. Pia kuna MTU mwingine anaitwa JUMA Issack nae ANATAKA sasa viongozi hawa wamegawanyika. KATIBU WA wilaya ANATAKA ziwepo kura za maoni. KIBERA hataki kura za maoni ANATAKA fowad apite bila kupingwa hapo ndipo shabuka...
Hayo yametangazwa na Mwenyekiti wa Mkoa wa chama hicho Ndugu Jafari Kasisiko katika mkutano wa hadhara uliofanyika leo Mjini hapo na kuahidi kuleta jina la mgombea wao siku chache mbeleni
Katika hali ya sintofaham Katibu wa Wilaya wa act Kigoma town wamechapana makonde na Katibu mwenezi Ndugu anzuruni kibera katika ofisi Za chama hiko iliyopo ujiji Kigoma mpaka tunaondoka eneo la tukio sababu ya ugonvi huo haijajulikana
Wanakigoma wamekataa mwaka huu wa 2015 kuchagua wabunge ambao ni wakazi wa Daresalama kwani wanakuwa mbali na wananchi na si rahisi kushuhulikia kero zao,Rumenyela anawakimbiza Ccm na Act Kigoma
Mkutano wa Chadema K/Kaskazini umefana sana katika kijiji cha nyarubanda maelfu ya wakazi wamefika kumsikiliza Dr. Yeredi kubusa Kamanda na Mbunge mtarajiwa Kigoma Kaskazini hongera Dr Kwa speech NZURI na ya kisomi
Ni matumain yangu hamtamuangusha
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.