Kupitia Jitihada za Mh. Rais JPM nina amini Historia za hawa watu zitakumbukwa kwa ngazi yakitaifa kwani ndo wametufanya leo tuishi kwa amani na upendo.
Iwe wamesahaulika kwa Njia yoyote ile Sisi kama Vijana na Taifa kwa ujumla lazima tuenzi ushujaa wao, uzalendo wao walikuwa tayari kwa lolote na walitanguliza maslahi ya Taifa mbele ndo maana wengi wao familia zao zinamaisha ya hali ya chini kabisa tofauti na baadhi ya viongozi wa sasa miaka...
Hakuna mabadiliko mepesi usipotaka kwendana na kasi ya mabadiliko lazima utaona kila kitu unaonewa, Tumpe muda kwani alipotutoa ni pabaya mno kuliko alipotufikisha, Tunatakiwa kumuunga mkono kwa sababu anapambana sana kwa maslahi ya Taifa letu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.