mzee baba kupata mkopo inakua issue hapa.......na kujisomesha mwenyewe MD ni zaidi ya milioni 4,,,....kwa kwel ukiwa una ndoto ya MD ni lazima upitie form six PCB bila ya hvyo unaweza kuishia njian ukiptiia kusoma C/O DIPLOMA
kasome software engineering coz ni rahisi sana kujiajili......sio kama geomatics ..haina haja ya kuwapigia magoti wadau .....unaeza ukafanya mambo yako hata ukiwa ghetto at any time
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.