Recent content by allen sanga

  1. allen sanga

    Je, inakubalika kuomba kazi tena utumishi wakati nipo kweme tasisi ya serikali kwa mwaka mmoja wa matazamio (probation)?

    Inawezekana ku apply kazi tena utumishi na huku nipo kwene tasisi ya serikali ndani ya mwaka wa kwanza wa matazamio (probation)?
  2. allen sanga

    Msaada kuhusu mshahara wa Data Officer MDH

    Unajua kuhusu swali la juu ilo?
  3. allen sanga

    MDH kimyaaa au mshawekana kindugu

    Laki 3 kwa mwezi
  4. allen sanga

    TRA hamjawatendea haki INTERNS wenu

    Ni kweli hawajafanyiwa kitu cha haki kabisa au kwasababu sio watoto wa wakubwa?
  5. allen sanga

    Msaada kuhusu mshahara wa Data Officer MDH

    Ushapata jibu la uhakika boss, Na mimi nilitaka kujua ilo?
  6. allen sanga

    Msaada kuhusu mshahara wa Data Officer MDH

    Kwanini uliacha Boss?
  7. allen sanga

    Msaada kuhusu mshahara wa Data Officer MDH

    Matapeli kivipi boss, Hawalipi kwa wakati au?
Back
Top Bottom