kama mafundisho mtoto kashapewa issue ya kupata icho kipaimara atapewa na Mungu na hakuna ela ya kuwapa
Nilimjibu hivyo dada angu uku roho inaniuma sana
Dada yangu ni mama wa watoto wawili ambao hawapokei huduma yoyote kwa baba licha ya baba kuwa mtumish wa serikali na kipato kizur tu.
Kama mjomba yapo majukumu niliyoamua kuyabebea kwani dada yangu hana kipato cha kumfanya aweze waendeleza watoto wake.
Mtoto wa kwanza wa dada angu anategemea...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.