La kuvunda halina ubani.... Umeshalikoroga lazima ulinywe.... Sijui utaongea nini ili watu wakuamini.... Wakati kwenye hizo audio zako umeonge kwa hisia kali Sana... Hata mtoto mchanga aliezaliwa leo kama ana uwezo wa kuelewa atajua tuu ulioyasema yoote ni kweli.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anaonekana bado mtoto hata kujitetea hajui uuuu!!???
Hhaahajhshahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nduki nyingi sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.