Recent content by Allan Bomani

  1. Allan Bomani

    RC Makonda: Kuna waumini 12 walipanga kunitupia majini

    Nina swali.... Hivi mkuu wa mkoa wa dar ni Paul makonda au Daudi bashite??.
  2. Allan Bomani

    RC Makonda: Kuna waumini 12 walipanga kunitupia majini

    Na bado maana kwa jinsi hali ilivyo anatakiwa awe nakini sana
  3. Allan Bomani

    Steve Nyerere aongea na Wanahabari, amkaanga Wema Sepetu na Mama yake, Wasanii hawaidai CCM

    La kuvunda halina ubani.... Umeshalikoroga lazima ulinywe.... Sijui utaongea nini ili watu wakuamini.... Wakati kwenye hizo audio zako umeonge kwa hisia kali Sana... Hata mtoto mchanga aliezaliwa leo kama ana uwezo wa kuelewa atajua tuu ulioyasema yoote ni kweli.
  4. Allan Bomani

    Paul Makonda kujibu tuhuma zilizoelekezwa kwake kupitia PB ya Clouds FM tar Februari 23, 2017

    Halafu PB planet bongo sio clouds fm ni EATV wewe
  5. Allan Bomani

    Mtiririko wa Elimu ya Mh. Makonda katika ngazi ya Kidato cha Nne unafifia

    [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]anaonekana bado mtoto hata kujitetea hajui uuuu!!???
  6. Allan Bomani

    Ridhiwani Kikwete: Ni radhi kufa maskini kuliko kuuza Dawa za Kulevya

    Hivi kwani mkapa nae ako na mtoto!????.
  7. Allan Bomani

    Tundu Lissu anawatumia Wananchi kama daraja tu!

    Hata huko mahakamani ni moja kati ya mambo yanayojenga chama.
  8. Allan Bomani

    Masele Mbunge wa CCM Shinyanga Mjini, awaambia wananchi kuwa kuna baa la njaa nchini

    Kwa hiyo mtu akikosa uwaziri haruhusiwi kusema ukweli???.
  9. Allan Bomani

    Kwa uandishi huu hata hoja ya kufoji vyeti inapata mashiko

    Hakika hata mimi nimeshikwa na hofu sana juu ya huu mwandiko khaaaa
  10. Allan Bomani

    Kamanda Sirro: Mbowe jisalimishe Polisi; Masogange, Chid Mapenzi, Wallis Nasher tumewakuta na madawa

    Hhaahajhshahah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]nduki nyingi sana
  11. Allan Bomani

    Kukosa agenda, migogoro isiyoisha: Upinzani msipokuwa makini, CCM itashinda kwa kishindo 2020

    Hata 2015 na miaka mingine hapo nyuma ilishinda kwa kishindo ila ni ushindi usio halali.... So sitashangaa pia wakishinda kwa kishindo 2020....
  12. Allan Bomani

    Awamu ya 5 na majina ya mawaziri ambao wamebahatika kusafiri nje ya nchi

    [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] shikamoo mkuu
Back
Top Bottom