Recent content by all about

  1. all about

    Ukweli unaoumiza 😢

  2. all about

    Siku ukipata nafasi ya kukaa na mwanao mkumbushe haya

    1. Mkumbushe mwanao kuwa WIVU utamfanya amchukie Mtu ambaye alipaswa ajifunze kutoka kwake.. 2. Mkumbushe Mwanao kuwa Msaada sio Haki yake asipopewa Asinung'unike atafute Chake... 3. Mkumbushe Mwanao kuwa Tumeona mazuri kwa watu waliokuwa wakiitwa wabaya na Tumeona mabaya kwa watu waliokuwa...
  3. all about

    Ukristo na Uyahudi: Zijue tofauti zilizopo

    Ukristo na Uyahudi ni vitu viwili tofauti, ingawa zina uhusiano wa kihistoria na kidini. Hizi hapa ni tofauti kuu kati ya dini hizi mbili: 1. Imani katika Yesu: Tofauti muhimu zaidi kati ya Ukristo na Uyahudi ni imani kwa Yesu Kristo. Wakristo wanaamini kwamba Yesu ni Masihi na Mwana wa Mungu...
  4. all about

    Zifuatazo ni Tabia 11 zitakazokupatia heshima kama utaishi nazo

    Hela inawatu wake kaka sio kila mtu, hela inautaratibu wake au hujawai sikia pesa inauwa
  5. all about

    Chagua jambo moja tu la kuliondoa katika hii dunia

    Mimi nitaondoa "UJINGA" Kwasababu... Nilikuwa nikifikiria jibu la hili swali, ghafra akili yangu ilikumbana na haya mambo manne. Umasikini, vita, njaa, na kifo. Na nilikuwa nikifikiria kuondoa mojawapo ya hayo. Nilitambua kuwa dunia haitawahi kweli kuwa huru kutokana na matatizo hayo manne...
  6. all about

    Namna ya kupata furaha ya kudumu

    Nahisi nitaweza
  7. all about

    Tazama maajabu haya 6 aliyonayo binadamu

    1. Hakuna mtu ambaye yuko bize muda wote. Inategemea tu uko nafasi gani kwenye orodha ya vipaumbele vyako. 2. Amini usiamini, unaweza kuwa na chochote unachotaka, uwezo wako hauna kikomo. 3. Kila mtu anajaribu kupata mtu sahihi lakini hakuna anayejitahidi kuwa mtu sahihi. 4. Pesa ni namba na...
  8. all about

    Namna ya kupata furaha ya kudumu

    Il Ila hizi ni researches huenda ni kweli au sio kweli
  9. all about

    Namna ya kupata furaha ya kudumu

    Ungeweka hapa tufaidike wote
  10. all about

    Namna ya kupata furaha ya kudumu

    Matatizo yapo na ndio hizo tunazoita changamoto za maisha na bila hizo huwezi kuwa na morality ya kujituma na kutafuta pesa kwa bidii, ila furaha ndio mwarobaini wa kutatua hizo chamoto kwanza utakuwa na confidence pia utaepusha depression, na kujituma zaidi kupambania maisha
  11. all about

    Namna ya kupata furaha ya kudumu

    Nielezee kwa kina labda ninaweza nikawa msaasa kwako
Back
Top Bottom