Yaani huo ndo utafiti wako! Usikurupuke soma Tena kabla hujatuma, yaani umechukua sample English medium tu afu ukatoa conclusion pamoja na Swahili medium pia! Kule msingi Kila mwalimu ni mahiri kwenye somo Fulani kama sekondari tu ila kutokana na uhaba wa walimu kulingana na wanafunzi ndio maana...
Kwani huwezi kuongea kama msomi mbn unabweka2 tu Sasa elimu ya cheti inahusiana Nini , watu wenyewe ndo mliopata digrii baada ya matokeo yenu mli standize Yale ya form four, nenda kakalie ww kiti kile tuone utumbo wako!
Utata upo kwenye hiyo mikataba au makubaliano, mnakopeshana vichochoroni mnataka public iwasaidie kwani kabla ya apo hamkuwaona hao, mtoa mada Yuko sahihi pia anawakumbusha wakopeshaji kuwa makini sana na aina binadamu ni wajanja sana hasa wakiwa na lao jambo, Sheria ipo pande zote hakuna huruma...
Hakuna mkanganyiko ila viongozi wa Halmashauri hii wako hovyo hata kwenye upandishaji vyeo wanaroho za korosho kama mkoa wao ulivyo maarufu kwa korosho.
Kwanza walisema tatizo lipo kwa dt, Sasa huyo waliemsingizia amepitisha malipo kumbe Wana orodha Yao, huo ni ubinafsi na ufisadi mkubwa!
Malipo ya nauli wamewalipa wachache eti ela wameingiziwa kidogo Toka serikali kuu,naomba waziri mwenye dhamana toka TAMISEMI kama umeona hili uje utolee ufafanuzi haya yanafanyika Halmashauri ya Tandahimba mkoa wa Mtwara.
Kama ni kweli toa majibu maaana uku Kuna vurugu za hatari kati ya...
Habari!
Napenda nielekee Moja kwa Moja kwenye mada husika!
Kuna baadhi ya halmashauri viongozi wake ni warasimu sana kitu ambacho kinashusha ari ya ufanyaji kazi kwa watumishi, mfano serikali inatoa pesa kwaajili ya nauli kwa watumishi wake ila zikifika kwenye halmashauri wanabadilisha...
Ishi na mwanamke kwa akili, maana Kama huna akili achana nao, kuna makaburi hata ya wasiooa, moja ya mbinu ya kuishi nao Ni kuwapuzia tu ataenda atarudi akinogewa uko mtunuku cheti ( talaka)! Tunamambo mengi yanayotusumbua hasa tozo! Hao Serengeti achana nao Kwanza!
Hatawezi kuwa sawa, Kila mahali kuna utaratibu wake! Kwenye haya maisha jifunze kufurahia na kujifunza kitu kutoka desturi na Mila za jamii mbalimbali! Elimu ingekuwa ndo kujitambua tusingekuwa na viongozi wa hovyo Kama wa awamu ya tano na awamu ya sita!
Mbona unatukumbushia watu wa hovyo ndugu yangu, na ndo aliyeacha uozo unaochafua Hali ya hewa leo! Kikubwa tuangalie ajaye 2025, umasikini wetu wa akili Ni kusema ccm inapita tu, ishu sio kupita inampitisha Nani?
Usiwalazimishe wakuelewe waache na ujinga wao pia hao wasichana wanaowakataa walimu achana nao, mtu sahihi huja kwa wakati sahihi pasi kuangalia kipato,dini,rangi au jamii Fulani! Ila ukipata mwalimu anaejitambua hasa wa kike utaenjoy maisha ya ndoa Kama uko Edeni! Yote kwa yote walimu Ni walezi...
Acheni kukosoa Kila kitu Cha serikali mbn mfumo uko pw! Pia tusiishi kwa mazoea kuhusu ufanisi upo wa kutosha mafunzo wiki tatu kasoro si mchezo wameiva! Kama yatatokea mapungufu hayo ya ubinadamu!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.