The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 3,443
- 8,288
Kuna mambo ukiyanglia kwa jicho la nyama. Ni ngumu kuyaelewa....
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.
Nikitafakari majitoleo yake Kwa watanzania nahisi alikuwa ni Malaika......
Dunia nzima kwa Sasa hakuna kiongozi kama yeye. Uzalendo wa namna hii tuliuona Kwa kina Martin Luther king Jr na John Kennedy......
Kwa Sasa watu wamevaa uso wa mbuzi cha Moto tunakipata.