Sawa kwa kusema kuwa wanawake wanatumia hisia zaidi kuliko akili na logic, je hizo akili au logic ambazo sisi wanaume tunatumia zaidi kuliko wanawake, ambazo wewe kwa upande wako umesema umezitumia na kuona kuwa dini ni uongo, je zinatoka wapi au chanzo chake wapi?
Ndiyo maana Mungu anasema usiogope Yakobo uliye mdudu, yani Mungu anatuona sisi ni dhaifu kwake kama wadudu tu, sema tuna kiburi tu ambacho hakina maana yoyote
huyu lengo lake huwa nini, anadhani wakristo ni simple hivyo kichwani awakengeushe, yani anachukua mistari ya Biblia na kuisoma kama anasoma "CIVICS" halafu anafanya conclusion, mada nyingiii halafu hazina impact yoyote, kwa nini asikubali tu ampokee Yesu yaishe, Yesu ni yeye yule jana leo hata...
hapo sawa, lakini je chombo kilichoumbwa na mfinyanzi kinaweza kumwambia mfinyanzi wake kwamba hapa umekosea kuniumba, ilitakiwa hivi, je kilikuwepo wakati kinaumbwa? Kinajua kanuni zipi na mahitaji yapi vilitumika kukiumba? Chukulia hiki kitu ndo cha kwanza kuumbwa na hakina reference nyingine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.