Recent content by Align

  1. A

    Vijana wa kitanzania tunazingua mtu anataka mkopo au scholarship halafu vigezo hajatimiza akikosa anaishia kulalamika

    Pamoja na mambo mengine, ni kweli mkuu vijana tuzingatie vitu vya muhimu, ni ushauri mzuri, kila mtu atimize wajibu wake kwanza
  2. A

    Wanaouchukia Uislam mnajisumbua Farao mwenyewe yalimshinda

    duu noma kwa hiyo kiongozi akisema takbir maana yake chinjeniii
  3. A

    Wanaouchukia Uislam mnajisumbua Farao mwenyewe yalimshinda

    ivi mkuu takbir maana yake nini?
  4. A

    Wakati wa Ramadhan na Kwaresma watu wanaongezeka au wanapungua uzito?

    kwa hiyo na wewe wakili wa shetani unafunga? Mission yako inakuwa nini "kama wakili wa shetani" katika kufunga
  5. A

    Tukipitisha sheria ya kuua au kufunga jela wanaoshiriki mapenzi ya jinsia moja basi haya maeneo yataathirika zaidi

    sawa tu maana kulingana na uzi wenyewe harufu za ajabu ajabu ni moja ya component zake
  6. A

    Elimu juu ya siafu

    hahaha, safi sana
  7. A

    Umeamua kufunga Kwa hiari yako, kwanini ukasirike sisi tukiwa tunakula?

    Mkuu ukienda Zanzibar kama unayosema ni kweli na ww watakupiga basi?
  8. A

    Elimu juu ya siafu

    daah noma, hata sijui maana ya josho mkuu, natumia kiswaswadu chenye opera, kuna option ya emoj ya thanks tu, ya kucheka na zingne sioni, hivyo nashindwa kuapply, sijaangalia comment za juu je ametoa maana ya josho?
  9. A

    Elimu juu ya siafu

    hahaha, Seran noma mada za dini yupo, ukija huku yupo, kila kona yupo vizuri, safi kabisa bibie mchangamfu kama huyu
Back
Top Bottom