Recent content by Align

  1. A

    JamiiForums Tanzania Miaka yangu 10 ya kuwa member wa JamiiForums

    kwahiyo Loose Nut umemsahau
  2. A

    JamiiForums Tanzania Je, na zile Daladala na Bajaji Ambazo Tayari Zimebadilishwa Mfumo Kutumia Gesi ya CNG Nazo Zinaongeza Nauli? Maana Kg 1 ya CNG ni Sawa na TZS 1550

    kwamba kwa sasa wamesahau kabisa, maana waliisoma kwenye intro form four
  3. A

    JamiiForums Tanzania Kwanini dini inauzika sana Kwa wanawake? Maana ndio wahanga wakubwa wa Dini

    Sawa kwa kusema kuwa wanawake wanatumia hisia zaidi kuliko akili na logic, je hizo akili au logic ambazo sisi wanaume tunatumia zaidi kuliko wanawake, ambazo wewe kwa upande wako umesema umezitumia na kuona kuwa dini ni uongo, je zinatoka wapi au chanzo chake wapi?
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nimekaa nimeitafakari sana ile picha ya sayari yetu Dunia iliyopigwa na NASA imenifunza mengi

    Ndiyo maana Mungu anasema usiogope Yakobo uliye mdudu, yani Mungu anatuona sisi ni dhaifu kwake kama wadudu tu, sema tuna kiburi tu ambacho hakina maana yoyote
  5. A

    JamiiForums Tanzania Wana theolojia naomba ufafanuzi kati ya Yesu na Paulo nani mwenye final devine rights zaidi?

    huyu lengo lake huwa nini, anadhani wakristo ni simple hivyo kichwani awakengeushe, yani anachukua mistari ya Biblia na kuisoma kama anasoma "CIVICS" halafu anafanya conclusion, mada nyingiii halafu hazina impact yoyote, kwa nini asikubali tu ampokee Yesu yaishe, Yesu ni yeye yule jana leo hata...
  6. A

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu

    hapo juu umemwita Kiranga na Infro, we upo upande gani? unaamini uwepo wa Mungu au hapana
  7. A

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu

    binadamu wa kwanza alizaliwa na nani?
  8. A

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu

    hapo sawa, lakini je chombo kilichoumbwa na mfinyanzi kinaweza kumwambia mfinyanzi wake kwamba hapa umekosea kuniumba, ilitakiwa hivi, je kilikuwepo wakati kinaumbwa? Kinajua kanuni zipi na mahitaji yapi vilitumika kukiumba? Chukulia hiki kitu ndo cha kwanza kuumbwa na hakina reference nyingine...
  9. A

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu

    je, mkuu hata watoto wako umewakataza wasiamini uwepo wa Mungu?
  10. A

    JamiiForums Tanzania Vijana wa kitanzania tunazingua mtu anataka mkopo au scholarship halafu vigezo hajatimiza akikosa anaishia kulalamika

    Pamoja na mambo mengine, ni kweli mkuu vijana tuzingatie vitu vya muhimu, ni ushauri mzuri, kila mtu atimize wajibu wake kwanza
  11. A

    JamiiForums Tanzania Wanaouchukia Uislam mnajisumbua Farao mwenyewe yalimshinda

    duu noma kwa hiyo kiongozi akisema takbir maana yake chinjeniii
  12. A

    JamiiForums Tanzania Wanaouchukia Uislam mnajisumbua Farao mwenyewe yalimshinda

    ivi mkuu takbir maana yake nini?
  13. A

    JamiiForums Tanzania Wakati wa Ramadhan na Kwaresma watu wanaongezeka au wanapungua uzito?

    kwa hiyo na wewe wakili wa shetani unafunga? Mission yako inakuwa nini "kama wakili wa shetani" katika kufunga
  14. A

    JamiiForums Tanzania Hakuna maisha mengine zaidi ya haya ya hapa dunia, ukipata wasaa wa kufurahi fanya hivyo to the maximum

    Ole wake ashindanaye na Muumba wake, Isaya 45:9~10
Back
Top Bottom