Recent content by Alicia leon

  1. Alicia leon

    Nimejaribu kuanzisha biashara mbalimbali lakini huwa hazidumu. Naombeni ushauri

    Ndiyo nimejifunza mengi sana mkuu. Namshukuru Mungu, naendelea kupambana licha ya changamoto zote hizo.
  2. Alicia leon

    Nimejaribu kuanzisha biashara mbalimbali lakini huwa hazidumu. Naombeni ushauri

    Asante kwa ushauri ni mzuri, lakini naimani siyo wa aina hiyo.
  3. Alicia leon

    Nimejaribu kuanzisha biashara mbalimbali lakini huwa hazidumu. Naombeni ushauri

    Ni vile tu changamoto haziishi. Lakini najitajidi sana kupambana. Sijui nakosea wapi.
  4. Alicia leon

    Nimejaribu kuanzisha biashara mbalimbali lakini huwa hazidumu. Naombeni ushauri

    Habari Wana JamiiForums, Nimekuja hapa nikiomba mawazo yenu, ushauri na msaada ikiwezekana. Katika maisha yangu nimejaribu sana kutafuta kazi sehemu mbali mbali bila mafanikio, na hata nikipata haidumu kabisa inatokea changamoto naikosa, nimekuwa mtu wa kutamani sana na Mimi niweze kuwa na...
  5. Alicia leon

    Natafuta Kibarua cha kufua na kufanya usafi

    Wakuu habari za muda huu jamani. Bado sijachoka kutafuta msaada umu, kwa mwenye uhitaji wa mfanyakazi katika ofisi yake au sehemu yake, Mimi Niko tayari. Maana mpaka sasa bado sijapata sehemu ya kujishikiza nazidi kuhangaika tu Ili nipate tonge la kuendesha siku na watoto. Shukrani.
  6. Alicia leon

    Natafuta Kibarua cha kufua na kufanya usafi

    Naomba unisaidie tu. Ili niweze kupata angalau hela ya kujikimu na Hawa watoto
  7. Alicia leon

    Natafuta Kibarua cha kufua na kufanya usafi

    Ndiyo, amewatupa kbs. Hata huduma hatoi. Mimi napata shida nao peke yangu.
Back
Top Bottom