Mimi ni msichana Nina umri wa miaka 25, elimu Yangu ni shahada ya Maendeleo ya Jamii, ninauzoefu pia wakufanya kazi na jamii hasa kijijini.
Sichagui kazi kwani ninakipaji cha kusuka kwahiyo hata saluni Niko vizuri, msaada wadau
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.