Recent content by Ali luna

  1. Ali luna

    Julius Mtatiro Anatosha Zaidi Kwenye Urais Kuliko Ubunge!

    Uchaguzi wa 2010 mtatiro aligombea jimbo LA ubungo kwa tiketi ya cuf
  2. Ali luna

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Huyo ndio mbadala wa cdm uchaguzi ujao watachukua viti vingi sana vya ubunge
  3. Ali luna

    GE2015 Matukio na Matokeo toka maeneo mbalimbali ya Tanzania - Uchaguzi Mkuu 2015

    Wazalendo tulipiga kura kwa magufuli ili kuzuia nchi kutawaliwa na wapiga dili
  4. Ali luna

    UKAWA: Mjifunze sasa kuwa wakweli

    Wazalendo tulipiga kura kwa magufuli ili nchi isiingie mikononi mwa wapiga dili
  5. Ali luna

    Mwanakijiji, jiandae na kibarua kuandika makala katika gazeti la Uhuru kukosoa serikali ya Lowassa

    Tru act ndio itakayoitoa ccm madarakani sio hawa ccm b
  6. Ali luna

    Waliomdharau Zitto sasa awafunga midomo

    Aunganishe nguvu na nani wakati Chadema ilikataa act kuingia kwenye ukawa
  7. Ali luna

    Majimbo walioshinda CHADEMA ni uwekezaji wa Slaa na CHADEMA asilia

    Lowasa amepata ushabiki huo mnaomshabikia cz vyama vimeungana
  8. Ali luna

    Matokeo rasmi ya Urais kwa mujibu wa NEC (Official Results) - Uchaguzi Mkuu 2015

    Tatizo lowasa Chadema wametumia miaka 8 kuonyesha kuwa yeye ndio alamA ya udhaifu na ufisadi wa ccm Leo unamchukua dakika za mwisho anakuwa mgombea wao Dhambi ya kuwasaliti wanamageuzi wa kweli ndio iliyosababisha ccm ipewe kura
  9. Ali luna

    Mbowe waachie Tume wafanye kazi yao

    Umevuta cha wapi arusha au mara
  10. Ali luna

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Akili zako ndogo kama za nzi Baraza la mawaziri halivunjwi kama kumtuma mtoto dukani linavunjwa kwa utaratibu na kwa kufuata sheria
  11. Ali luna

    Magufuli atikisa Geita

    Sijawahi kuipigia kura ccm ila mwaka huu kura yangu ni ya kwao Siwezi kuuza nchi yangu kwa wapiga dili kina gwajima rostam na wengn kbao tu
  12. Ali luna

    Mgombea Urais wa CHADEMA, Edward Lowassa kutoshiriki mdahalo wa Oktoba 18, 2015

    Huko nyuma tulizoea mgombea wa ccm ndio alikuwa anakacha midahalo na vyama vya upinzani Ila kwa mara ya kwanza mgombea wa upinzani anakacha mdahalo Shame on you mbowe kwa kuuza upinzani
  13. Ali luna

    Operesheni Zinduka 9 - Kupanguliwa kwa Hoja Muflisi za Madalali wa Mabadiliko Feki!

    Naona unatumiwa na malofa wenzio lowassa labda awe raisi wa awamu ya 5000000 tumeelewana
  14. Ali luna

    Operesheni Zinduka 9 - Kupanguliwa kwa Hoja Muflisi za Madalali wa Mabadiliko Feki!

    Tatizo mtu akisema kweli anatumiwa mwanakijiji wazalendo Tupo na hatuwezi kukubali nchi hii ingie mikononi mwa wapiga dili
  15. Ali luna

    Rais wa Tano Tanzania

    Magufuli Ndio raisi wangu
Back
Top Bottom