Hawa jamaa wa bodi ya mikopo miyeyusho sana! Wametangaza kuwa orodha ipo tayari tokea jumamosi tar 28 sasa mbona hadi leo jumatano tar 02 hakuna chochote kilichobadilika kwenye SIPA? au IT department ndio miyeyusho? Mwenye updates iliyokamilika atujuze. Kwani nina vijana wangu watatu...
Peter kulualia hakutamsaidia kitu! Anachotakiwa ni mwendo wa kuomba radhi tu kama alivyofanya wakati akiwa CHADEMA alipomtukana Kinana! Na ndivyo afanye leo kwa kumuomba radhi Mh. Mbowe kwenye kipindi hiki ambacho Peter yupo CCM.
Wadau Salaam,
Naomba kuuliza kama unaweza kufanya process ya kuomba mkopo bila ya kuwa na ADMISSION NUMBER kutoka chuo chochote! Kwani hii imetokana na dirisha la mikopo kufikia tamati tarehe 30 August ili hali matokeo ya chaguzi kuanza kutangazwa kuanzia tarehe 03 September na hapo ndipo...
Salaam wadau!
Nimefanikiwa kukusanya mbegu za maharagwe makubwa yanayostawi mwaka mzima na huwa yanaota kwa kuzunguka kwenye mti (kama ilivyo kwa mazao ya passion) na hutoa maharagwe mengi kila mche wastani wa kilo mbili kwa mvuno mmoja.
Naomba mwenye kujua jina lake anihabarishe kwani...
Rudi tu usichoke! Ukishaweka ile verification code ya RITA utaona jina kamili la muhusika limetokea kwa chini hapo ujue tayari unaweza kuendelea na hatua nyingine.
Sijajua kama kuna room ya kuweka supporting document. Ukisha upload signed appeal form hakuna sehemu ya pili ili uweze kuweka hiyo document. Mie imenitokea hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.